TANZANIA NA DRC ZASAINI MIKATABA WA PAMOJA WAUSHIRIKIANO KATIKA UENDELEZAJI NA UENDESHAJI WA BANDARI KAVU

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuriya Kidemokrasi ya Congo (DRC) zasaini Mkataba wa pamoja wa Ushirikiano katika uendelezaji na Uendeshaji wa bandari kavu ambazo zitajengwa katika maeneo maalum ya Kwala – Pwani na Katosho-Kigoma kwa Tanzania na Kasambondo – Jimbo la Kalemie Tanganyika DRC; Kasumbalesa na – Jimbo la Haut…

Read More

Baada ya ndoo, Simba yataka unbeaten WPL

LICHA ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) akiwa na mechi mbili mkononi, kocha wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi, amesema taji halitoshi, kwani kiu waliyonayo ni kumaliza msimu bila kupoteza mchezo wowote. Simba ilitwaa ubingwa huo juzi baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, ikirejesha taji…

Read More

Lugalo ipo tayari kwa Gofu Moro

MAPRO ndio wataanza kucheza mashindano ya Gofu yaliyoandaliwa na klabu ya Morogoro Gymkhana, yatakayoanza Juni 14-16, huku Brigedia Jenerali Mstaafu, Michael Luongo akiweka wazi namna walivyopania mashindano hayo huku akikiri ugumu wa viwanja vya mchezo huo mkoani humo. Mapro watacheza siku moja (Juni 14), ili siku mbili zitakazofuata (15-16) iwe zamu ya wachezaji wa ridhaa…

Read More

VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA VIJISAJILI WEZESHA PORTAL

  Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa elimu ya usajili wa vikundi vya huduma ndogo za fedha iliyofanyika katika moja ya darasa la Shule ya Msingi Kipeta, Wilaya ya Sumbawanga Vijijini, mkoani Rukwa. Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa…

Read More

RT yafunguka ishu kambi ya Olimpiki

BAADA ukimya wa muda mrefu kuhusu lini timu ya taifa ya Riadha itaingia kambini kuanza maandalizi ya mashindano ya Olimpiki ambazo zitafanyika Julai jijini Paris Ufaransa hatimaye Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limevunja ukimya na kusema kambi hiyo itaanza rasmi mapema wiki inayoanza kesho. Tanzania itawakilishwa na wanaridha wanne pekee wanaokimbia mbio ndefu kilometa 42,…

Read More