Straika wa mabao yupo yupo tu

BAADA ya kupandisha timu Ligi Kuu na kuibuka mfungaji bora winga wa Ken Gold, William Edgar amesema bado hajajua hatma yake kubaki au kuondoka kikosini humo msimu ujao. Nyota huyo aliandika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza aliyefunga idadi kubwa ya mabao (21) lakini ikiwa mara ya pili kupandisha timu Ligi Kuu, akifanya hivyo 2021/22…

Read More

CUF yajipanga kudai Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimesema wakati Taifa likielekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kinatarajia kufanya mazungumzo na vyama vingine vya siasa kuhusu suala la Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Uamuzi huo wa CUF umechochewa na madai kwamba miswada iliyopitishwa na Bunge…

Read More

TETESI: Manu Lobota atajwa Yanga

YANGA inahusishwa kuhitaji huduma ya straika mkongomani, Emmanuel Bola Lobota kutoka Ihefu. Lobota aliyejiunga na Ihefu katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea FC Saint Eloi Lupopo ya DR Congo amekuwa kwenye mawindo ya Yanga tangu mwanzoni mwa msimu uliopita. Nyota huyo kabla ya kutua Ihefu, alishafanya mazungumzo na Yanga na Singida Fountain Gate, lakini…

Read More

Kujenga viwanda, kutafuta masoko vipaumbele wizara ya biashara

Unguja. Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda, imepanga kutekeleza vipaumbele katika maeneo makuu matatu kwa mwaka wa fedha 2024/25. Maeneo hayo yanalenga kuimarisha sekta ya viwanda, biashara na kutafuta masoko pamoja na kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na utoaji huduma.  Hayo yamesemwa jana Jumamosi Juni 8, 2024 na Wizara ya Biashara na Maendeleo ya…

Read More

FGA Talents yarudi upya ikiisaka Ligi Kuu

KLABU ya FGA Talents inaendelea na mchakato wa kubadili jina, huku uongozi wa timu hiyo umesema mkakati wao ni kuitafuta Ligi Kuu msimu ujao na kuthibitisha makazi yao rasmi kuwa mjini Songea. FGA Talent ilikuwa na makazi yake jijini Dodoma, ambapo mwishoni mwa msimu uliomalizika hivi karibuni wa Championship ilicheza mechi mbili katika uwanja wa…

Read More

Aomba msaada mtoto wake atibiwe uvimbe tumboni, mumewe amkimbia

Morogoro. Mkazi wa Kitongoji cha Msufini kilichopo katika Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, Leokadia Said (28) amewaangukia Watanzania na Serikali akiomba msaada wa matibabu ya mwanaye mwenye uvimbe kwenye kitovu. Uvimbe huo umesababisha ukuaji wa mtoto huyo, Mastidia Derick, mwenye umri wa miezi sita kuzorota na hivyo kuhitaji matibabu ili kurejesha afya yake na ukuaji…

Read More

Chanda hakinenepi siku ya kuvishwa pete

Wanasema mbuzi hanenepi siku ya mnada. Kama hukumlisha vizuri pale mwanzoni, usitegemee awe na afya njema iwapo utamlazimisha kula ili anenepe wakati wa kwenda sokoni.  Utaingia hasara kwani atakula misosi ambayo huwezi kumudu gharama zake hata ukijitoa outing, lakini kamwe hutoweza kuongeza thamani yake kiafya. Na utakapompeleka sokoni atakuwa ni yuleyule ambaye hukumpa chakula bora….

Read More

Bei ya Petroli, dizeli yashuka mafuta ya ndege yapaa

Unguja. Bei ya mafuta ya petroli na dizeli imeshuka, huku mafuta ya ndege yakiongezeka bei kisiwani hapa. Bei ya petroli imeshuka kutoka Sh3,182 kwa lita moja hadi Sh3,132 ikiwa ni tofauti ya Sh50 sawa na asilimia 1.6. Dizeli kwa Juni, itauzwa Sh3,068 kutoka Sh3,146, ikiwa kuna tofauti ya Sh178 sawa na asilimia 2.5. Bei hizo…

Read More

Zimamoto Moro yataka timu Ligi Kuu

KAMANDA wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro, Shaaban Marugujo amesema yuko katika harakati za kusajili timu ya jeshi hilo itakayoshiriki mashindano mbalimbali hapa nchini ikiwa ni pamoja na kucheza Ligi Kuu kama ilivyo kwa timu za taasisi nyingine hapa nchini. Akizungumza na Mwanaspoti, Kamanda Marugujo amesema hadi sasa timu hiyo imeshaanzishwa na…

Read More