Mkuchika akumbushia bao la Aziz KI CAF

MWENYEKITI wa Baraza la Wadhamini wa Klabu ya Yanga, George Mkuchika amesema kama timu hiyo isingenyimwa bao la nyota wa kikosi hicho, Stephane Aziz KI wakati wa mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns wangefika mbali zaidi. Mkuchika amezungumza hayo leo wakati wa Mkutano Mkuu wa Klabu hiyo…

Read More

Msigwa: Weledi utatuweka pazuri | Mwanaspoti

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa akimwakilisha waziri, Damas  Ndumbaro  katika mkutano mkuu wa mwaka wa Yanga 2024, amesisitiza juu ya weledi katika namna ya uendeshaji kwa  klabu za Ligi Kuu Bara. Msigwa amesema hayo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam  wakati akiwapongeza…

Read More

Unavyomlea ndivyo anavyokua, shtuka! | Mwananchi

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, ni usemi wa wahenga wenye tafakari lukuki. Na ukiutafakari kwa kina, hasa pale unapofikiria malezi ya mtoto tangu alipozaliwa hadi kufikia hatua ya kujitegemea, ni wazi utabaini jambo jema ama baya kwa mwanao. Nasema hivyo kwa sababu, tukiangalia tabia nzuri au mbaya ya mzazi aliyonayo, mara nyingi hurithiwa pia na mtoto…

Read More

Beki wa zamani Simba, Yanga afariki dunia

HABARI zilizotufikia hivi punde ni kwamba beki wa zamani Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Seleman Mathew amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam. Beki huyo wa zamani alikuwa katika kikosi cha Tukuyu Stars ‘Wana Banyambala’ kilichotwaa ubingwa wa Ligi ya Tanzania Bara mwaka 1986 kabla ya kupita katika…

Read More

Dk Kijo Bisimba: Wazazi wa miaka hii wanachoka sana

Dar es Salaam. “Ni kweli harakati za kutafuta maisha zinachosha, lakini sikubaliani na namna wazazi wa miaka hii wanavyochoka kiasi kwamba wanakosa muda wa familia. Watoto wanaachwa chini ya uangalizi wa watu wengine ambao huenda hawana wajualo kuhusu malezi. “Unakuta wazazi wako Dar es Salaam wanachukua msichana wa kazi kutoka mkoani, hawamfahamu wala kujua malezi…

Read More

KURA 7,092 ZA MPA UBUNGE ‘PELE’ JIMBO LA KWAHANI

Mbunge mteule wa Jimbo la Kwahani Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharib, Zanzibar, Bw.Khamis Yussuf Mussa akinyanyua juu hati yake ya ushindi baada ya kukabidhiwa na Msimamizi wa Uchaguzi. Mbunge mteule wa Jimbo la Kwahani Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharib, Zanzibar, Bw.Khamis Yussuf Mussa akionesha hati yake ya ushindi baada ya kukabidhiwa…

Read More

Kundemba yaizima JKU, Malindi ikizinduka ZPL

VINARA wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), JKU jana ilijikita ikisimamishwa na Kundemba kwa kulimwa mabao 2-0 katika mechi za lala salama za Ligi hiyo, huku Malindi ikizinduka kwa Uhamiaji. JKU inayoongoza msimamo wa Ligi ikihitaji pointi mbili tu itangaze ubingwa mapema, ilikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Kipigo hicho kimeiacha…

Read More