Urefu jina la wizara wamkera mbunge

Dodoma. Mbunge wa Masasi Mjini, Godfrey Mwambe amekosoa jina la Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, huku akitadharisha kuachwa mtoto wa kiume katika mipango ya malezi na uwezeshaji.  Amesema hayo leo Juni 8, 2024 katika mafunzo ya  wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti kwa kuzingatia masuala ya kijinsia, yaliyoandaliwa na Bunge kwa…

Read More

Vaibu lamrudisha Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amekiri kufurahia kurejea tena nchini, huku akiweka wazi vaibu la mashabiki hasa wanaojazana Uwanja wa Benjamin Mkapa ni moja ya sababu iliyomrejesha Tanzania na kujiunga na Singida Black Stars katika mashindano mbalimbali ya msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Aussems alisema anajisikia furaha kubwa kurudi kwa mara nyingine…

Read More

Bakwata yatangaza Eid ya kuchinja Juni 17

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesema Sikukuu ya Eid el Adh’haa itakuwa Jumatatu Juni 17  na swala yake itaswaliwa katika msikiti wa Mohamed VI uliopo makao makuu ya baraza hilo Kinondoni. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 8, 2024 na Katibu Mkuu wa Bakwata, Alhaji Nuhu Mruma swala ya Eid itaanza saa…

Read More

Celtics ilivyotibua rekodi ya Mavericks

FAINALI ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA) imeanza rasmi juzi Ijumaa kwenye Uwanja wa TD Garden, Boston, Ukanda wa Mashariki unaowakilishwa na Celtics na ilicheza dhidi ya Dallas Mavericks. Ikiwa na faida ya kucheza nyumbani Celtics ilianza kwa ushindi wa vikapu 107-89 ikiwa ni tofauti ya pointi 18 dhidi ya Dallas. Tofauti hiyo…

Read More

Shule Iringa zalia uhaba wa walimu wa Tehama

Iringa. Uhaba wa walimu wenye ujuzi wa kufundisha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama),  umetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi wa shule za sekondari mkoani Iringa kujifunza teknolojia hiyo. Karibu shule nyingi za sekondari za Mkoa wa Iringa zimeanzisha madarasa ya Tehama kutokana na uwepo wa kompyuta. Hivi karibuni, shirika linalolenga kukuza ujuzi wa Tehama shuleni…

Read More

Kiungo Azam atajwa Yanga | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya sintofahamu ya kukosa saini ya kiungo, Yusuph Kagoma, mabosi wa Yanga wapo kwenye mchakato wa kuibomoa Azam FC kwa kumnasa kiungo fundi, Adolf Mtasingwa aliyebakiza mkataba wa miezi sita kuitumikia timu hiyo. Mwanaspoti linafahamu, Yanga kwa usiri mkubwa imeanza mazungumzo na kiungo huyo aliyekuzwa timu ya Vijana ya Azam aliyeng’ara katika…

Read More

Wananchi wafunga barabara wakitaka ikarabatiwe

Morogoro. Wananchi wa Kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro jana Ijumaa Juni 7, 2024 wamefunga barabara ya Lukobe mwisho mpaka Mazimbu wakilalamikia ubovu wake unaosababisha wasifikiwe na usafiri. Mwananchi Digital imeshuhudia baadhi ya wakazi wa Lukobe wakiwa wamekusanyika na wakitoa kauli za kuitaka Wakala wa Barabara za Vijijni (Tarura) kuitengeneza kwa dharura barabara hiyo. Hassan…

Read More