Farid amaliza utata, apewa miwili Yanga

LICHA ya kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara chini ya Kocha Miguel Gamondi, kiraka wa Yanga, Faridi Mussa bado ataendelea kukipiga Jangwani hadi mwaka 2026. Farid anayemudu kucheza kama kiungo mshambauliaji, winga na beki wa kushoto, aliyejiunga na Yanga Agosti, 2020 akitokea Tenerife ya Hispania ataendelea kukipiga kwa mabingwa hao wa Tanzania baada ya…

Read More

Tanesco yatoa Sh400 milioni kudhibiti mafuriko Ifakara

Ifakara. Serikali kupitia Shirika la umeme nchini Tanesco imetoa Sh400 milioni kwa ajili ya kuondoa adha ya mafuriko yanayowakuta wananchi wa Ifakara kila mwaka. Fedha hizo zimetolewa kwa ajili ya  kuimarisha kingo za mto Lumemo na kujenga tuta kubwa lenye urefu wa kilomita nane ili kuuzuia mto huo kumwaga maji kwenye makazi ya wananchi. Tuta…

Read More

TETESI: Kapombe, Singida BS bado kidogo

UONGOZI wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) inadaiwa umeanza mazungumzo ya kumpata beki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe kwa lengo la kuwaongezea nguvu kwa msimu ujao wa mashindano. Kapombe aliyeichezea Simba kwa misimu saba mfululizo tangu aliposajiliwa 2017-2018 akitokea Azam FC sambamba na nahodha John Bocco, Erasto Nyoni na kipa Aishi Manula, ni mmoja…

Read More

IGP WAMBURA AKAGUA MIRADI YA UJENZI RUFIJI

Matukio mbalimbali Pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura, akikagua Mradi wa Ujenzi wa jengo la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji ambalo ujenzi wake bado unaendelea. Baada ya ukaguzi huo IGP Wambura pia alizungumza na maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali ambapo aliwataka kuendelea kutekeleza majukumu yao ya…

Read More

Wakimbizi wa Burundi wapewa hadi Desemba 31 kurudi kwao

Kigoma. Serikali ya Tanzania imesema haitaongeza muda wa uhamasishaji  wakimbizi kutoka nchini Burundi waishio kambi ya Nyarugusu na Nduta zilizopo mkoani Kigoma, kurudi nchini kwao kwa hiari ifikapo Januari, mosi 2025. Hatua hiyo imekuja mara baada ya makubaliano ya pande tatu,  Serikali ya Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR),…

Read More

Zungu awatwisha mzigo wabunge bajeti ya kijinsia

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewataka wabunge kutizama Kanuni za Kudumu za Bunge kama zinakidhi ipasavyo utekelezaji wa dhana bajeti inayozingatia masuala ya kijinsia na iwapo zina kasoro,  ziboreshwe ili ziwawezeshe kuishauri Serikali kwa manufaa ya Taifa. Zungu ameyasema hayo leo Juni 8, 2024 wakati akifungua mafunzo ya wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti…

Read More

KATIKA MAONESHO KARIBU-KILI FAIR 2024, TAWIRI TUNATOA USHAURI ELEKEZI WA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA UTALII (CONSULTANT)

  Taasisi  ya  Utafiti  wa  Wanyamapori  Tanzania (TAWIRI) ni Miongoni  mwa  Taasisi  zilizopo  chini  ya  Wizara  ya  Maliasili  na  Utalii  zinazoshiriki  maonesho  ya Karibu  KILI FAIR  2024 yanayoendelea  katika viwanja  vya  Kisongo, Magereza  Mkoani  Arusha.  Maonyesho haya ya KARIBU KILI FAIR 2024 yamejikita  kuendelea  kukuza na kuimarisha  Utalii  ambapo mataraji ni kuyakutanisha  Makampuni 700 ya…

Read More

Alichokisema Malisa baada ya kuachiwa kwa dhamana

Moshi. Mwanaharakati, Godlisten Malisa ameachiwa kwa dhamana, huku  akisema misukosuko anayoipata,   haitamrudisha nyuma kwenye harakati za kutetea haki za wananchi, kwa kile alnachoeleza kuwa  yupo sahihi na anachokifanya. Malisa aliyekamatwa Juni 6 jijini Dar es Salaam, aliachiwa jana kwa dhamana mkoani Kilimanjaro baada ya kuhojiwa na maofisa wa Polisi,  akituhumiwa kwa makosa matatu aliyotenda kupitia…

Read More