Waziri aelekeza wenye kipato duni wapate msaada wa kisheria

Mbeya. Waziri wa Sheria na Katiba, Pindi Chana ameagiza  wasaidizi wa kisheria ngazi za jamii kuboresha upatikanaji wa haki kwa wananchi wasio na uwezo ili kutatua changamoto za mirathi, migogoro ya ardhi, ndoa na ukatili wa kijinsia. Sambamba na hilo, ameagiza taasisi na mashirika ya kidini yanayotoa huduma yasajiliwe na kuingizwa kwenye mifumo ya kidijitali,…

Read More

PURA yashiriki hotuba ya bajeti Zanzibar

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki kama mgeni mwalikwa katika wasilisho la hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi kwa mwaka 2024/2025. Wasilisho hilo ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar limefanywa Juni 07, 2024 na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Mhe….

Read More

JKT TANZANIA, Tabora UTD kumalizana kibabe Dar

MAAFANDE wa JKT Tanzania jioni ya leo watakuwa na kibarua cha kujihakikishia kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao wakati watakapoikaribisha Tabora United katika pambano la marudiano la play-off huku wakiwa na hazina ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata ugenini mwanzoni mwa wiki hii. Timu hizo zilizopanda daraja msimu huu na kujikuta zikiangukia kwenye play-offs…

Read More

Aliyemlisha mkewe kinyesi atupwa jela miezi 12

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limewafikisha mahakamani watuhumiwa 36 wa makosa mbalimbali ya ukatili wa kijinsia, akiwemo Nyaikorongo Mwita aliyedaiwa kumlisha kinyesi mke wake, baada ya kumpiga na kumjeruhi. Akisimulia tukio hilo leo Ijumaa Juni 7, 2024 wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa jeshi hilo kwa mwezi Mei 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

DKT. TULIA- RAIS SAMIA AMEFANIKISHA KWA KIASI KIKUBWA KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amekabidhiwa tuzo maalumu kwa kutambuliwa mchango wake  katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, tuzo ambayo imetolewa na wabunge wanawake kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania kwenye Maadhimisho ya Siku ya Nishati Safi Kupikia Duniani Akizungumza leo Juni 7,2024 katika maadhimisho hayo Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson…

Read More

Kagoma na ishu ya kusaini Yanga

BAADA ya kuzagaa kwa taarifa kwamba nyota wa Singida Fountain Gate, Yusuf Kagoma amesaini klabu mbili tofauti za Simba na Yanga, kiungo huyo amevunja ukimya kuhusu ishu hiyo akisema hajafanya jambo hilo kwani ni mchezaji anayejielewa. Ipo hivi. Yanga inatajwa kama klabu ya kwanza kuzungumza na mchezaji huyo kwa lengo la kutaka kumsajili  kabla ya…

Read More

Macron, Biden wakutana na Zelensky – DW – 07.06.2024

Biden aliwasilisha ujumbe huo kwa mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelensky katika mkutano wao huko mjini Paris. Wizara ya Ulinzi ya Marekani imesema kifurushi hicho kinajumuisha makombora ya Hawk yanayotumiwa katika mifumo ya ulinzi wa anga, risasi, makombora ya masafa marefu aina ya HIMARS na makombora ya kudungua ndege aina ya Stinger. Msaada huo utatumiwa pia…

Read More

Mabadiliko Ofisi ya Rais yalivyowaibua wadau

Dar es Salaam. Mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan Juni 6, 2024 yamewaibua wadau na wachambuzi wa masuala ya siasa na utawala, baadhi wakishauri uchunguzi wa kina uwe unafanyika kwa wateule wa Rais, ili kuepusha mabadiliko ya mara kwa mara. Wamesema Ofisi ya Rais inatakiwa kuwa na utulivu, hasa wakati huu nchi inapoelekea kwenye uchaguzi…

Read More