Biteko aiagiza Tanesco kujenga laini mpya ya umeme Ushirombo
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kujenga laini mpya ya umeme kutoka Nyakanazi-Ushirombo na Kahama Bongwe hadi Bukombe ili kuhakikisha hali ya upatikanaji wa umeme katika Wilaya ya Bukombe inaimarika. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Dk. Biteko ametoa agizo hilo alipozungumza na wananchi wa Jimbo la…