Biashara United yakaa mguu sawa Bara

WAKATI ikisubiri kumjua mpinzani wake kwenye mchezo wa mtoano kucheza Ligi Kuu, Biashara United imeanza kujifua kuweka utimamu, mbinu na saikolojia sawa ili kuwa tayari kwa pambano hilo. Biashara United itacheza na timu itakayopoteza mchezo wa mtoano kati ya JKT Tanzania na Tabora United na katika mchezo wa kwanza uliochezwa Jumatatu kwenye Uwanja wa Alli…

Read More

Straika la mabao Kotoko laingia rada za Simba

SIMBA wako siriazi na mambo yanakwenda kimyakimya. Mwanaspoti linajua mpaka jana jioni kwa uchache ilishamalizana na majembe mawili. Lameck Lawi (Coastal Union) huyu ni beki. Serge Pokou (Asec) ni kiungo. Lakini hata Yusuph Kagoma (Singida FG) kila kitu kimeshakamilika kwa asilimia kubwa. Ishu ya kocha wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na Steve Komphela kutoka…

Read More

WAKAZI WA KIJIJI CHA KITANDA NA LUMECHA WAOMBA KUFUNGULIWA KWA BARABARA YA LUMECHA- LONDO

Na Mwandishi wetu,Namtumbo. WANANCHI wa kijiji cha Kitanda na Lumecha wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma,wameiomba Serikali kuharakisha mpango wake wa kuifungua Barabara ya Lumecha-Londo hadi Kilosa kwa Mpepo inayounganisha mkoa wa Ruvuma na Morogoro. Wamesema,kama serikali itafungua barabara hiyo na kuijenga kwa lami itachochea maendeleo na kukuza uchumiwao na vijiji mbalimbali vitakavyopitiwa na barabara hiyo….

Read More

Mshery arusha taulo Yanga | Mwanaspoti

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu mitatu ya mafanikio kipa namba mbili wa timu hiyo nyuma ya Diarra Djigui, kipa Abuutwalib Mshery imedaiwa ameomba kuondoka kusaka timu ambayo itampa nafasi ya kucheza ili kujihakikishia namba timu ya taifa, Taifa Stars. Mshery alijiunga na Yanga, Desemba 2021 hivyo ameitumikia timu hiyo kwa misimu mitatu yenye mafanikio…

Read More

IGP WAMBURA – JESHI LA POLISI LAWEKEZA KWENYE JAMII

Jeshi la Polisi limeendelea kuwekeza kwenye jamii ili kuweza kubaini, kutanzua na kuzuia uhalifu kwenye maeneo mbalimbali ambapo wananchi Pamoja na viongozi wa mtaa wametakiwa kuendelee kushirikiana na Wakaguzi wa kata katika kudhibiti uhalifu. Kauli hiyo imetolewa na MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura wakati akiwavalisha nishani maafisa, wakaguzi na askari wa…

Read More

Beki Mcolombia Azam amwibua Morris

NAHODHA wa zamani wa Azam FC, Aggrey Morris ameshindwa kujizuia kwa kuwapa tano mabosi wa klabu kwa kufanya usajili mzuri ulioibeba timu hiyo katika msimu wa mashindano wa 2023-2024 huku akimtaka beki Mcolombia, Yeison Fuentes (22) aliyemchambua na kusema amekamilika kwa kila idara. Azam ilimsajili beki huyo wa kati kwa mkataba wa miaka mitatu, akitokea…

Read More

Viunzi vinne kocha mpya Simba SC

Simba ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na Kocha Steve Komphela (56) kutoka Afrika Kusini ili arithi mikoba ya iliyoachwa na Mualgeria Abdelhack Benchikha siku chache kabla ya msimu kumalizika. Kama kila kitu kitaenda sawa basi Komphela atatambulishwa kuwa kocha mkuu wa Simba kwa msimu ujao wa 2024/2025, licha ya kwamba anapingwa na baadhi ya viongozi…

Read More