PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 7,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 7,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 7,2024 Featured • Magazeti About the author
Na Mwandishi Wetu TUME ya Taifa ya Ushindani (FCC) imesema itahakikisha inaendelea kumlinda mlaji nchini hususani bidhaa zinazotoka katika viwanda vya ndani na vile vya nje. Kauli hiyo imesemwa Juni 5,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa FCC, William Erio wakati wa hafla maalum ya uitiwaji wa saini mashirikiano kati ya Time…
Shambulizi hilo lilikuwa ni kubwa zaidi katika msururu wa mashambulizi yaliyofanywa na RSF kwenye vijiji vidogo vidogo kote katika jimbo la Gezira linalosifika kwa kilimo, baada ya kuchukua udhibiti wa mji wake mkuu wa Wad Madani mwezi Disemba. Taarifa ya Mkuu wa Jeshi Abdel Fattah al-Burhan inatolewa baada ya madai yaliyotolewa na wanaharakati wa eneo…
Dodoma. Bunge limeazimia Serikali ipeleke bungeni muswada wa sheria kuweka utaratibu wa halmashauri kutenga fedha katika bajeti zake kwa ajili ya kununua magari ya zimamoto, matengenezo ya magari hayo na vifaa vya zimamoto na uokoaji. Baada ya hoja kujadiliwa, Spika Dk Tulia Ackson alilihoji Bunge ambalo liliipitisha kwa asilimia 100. Azimio hilo linatokana na hoja…
Na. Eva Ngowi, WF, Rukwa Serikali imetoa rai kwa wananchi kuepuka kukopa fedha kwenye vikundi vinavyotoa huduma za kifedha bila kusajiliwa rasmi kwa mujibu wa sheria ili kuepuka athari zinazoambatana na mikopo umiza. Rai hiyo imetolewa na Afisa Msimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Jackson Mshumba, wakati wa semina ya masuala ya fedha…
Mbeya. Waganga wakuu wa hospitali za mikoa ya Mbeya, Songwe, Katavi na Rukwa wameagizwa kusimamia utunzaji na usafirishaji wa sampuli za maabara na kuimarisha afua za maambukizi ya VVU katika vituo vya kutolea huduma. Hatua hiyo iende sambamba na kufanya ziara ya kukagua vituo vya afya zahanati zilizofanyiwa ukarabati kupitia ufadhili wa PEPFAR kama zinalingana…
Na Albano Midelo,Songea HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ni miongoni mwa Halmashauri 12 nchini ambazo zimepata mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya barabara za lami nzito ili kuboresha miundombinu ya miji,manispaa ya majiji. Akitoa taarifa ya mradi huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas,Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Wakili Bashir…
Iringa. Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba amewataka wakulima kuwekeza kwenye kilimo cha miti. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake baada ya Kampuni ya One Acre Fund Tanzania kutoa motisha ya malipo ya fedha kwa wakulima wa miti, Serukamba amesema licha ya kuwa mkoa huo unajivunia uwepo…
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji Mfumo wa Mkojo (TAUS) kwa mara ya kwanza nchini wamefanya upasuaji wa kuondoa mawe kwenye njia ya mkojo kwa kutumia matundu madogo kwa wagonjwa waliokuwa na changamoto za mawe kwenye njia mkojo.Akielezea huduma hiyo, Daktari Bingwa wa Upasuaji wa mfumo wa…
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, huku akiigusa ofisi yake kwa kuteua watendaji wanne katika nafasi mbalimbali za uongozi. Miongoni mwa viongozi waliotoka katika ofisi ya Rais ni pamoja na Zuhura Yunus aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Felister Mdemu aliyekuwa msaidizi wa Rais, Maendeleo ya Jamii. Wengine…