Ouma aachiwa msala wa CAF

MABOSI wa Coastal Union wameamua kumuachia msala wote wa michuano ya kimataifa msimu ujao, kocha mkuu David Ouma aliyeiwezesha timu hiyo kumaliza katika nafasi ya nne ya Ligi Kuu Bara na kufika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho, huku ikimshukuru na kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Wagosi wa Kaya hao wanarejea katika michuano ya kimataifa…

Read More

TFF yamgomea Samatta kutundika buti timu ya Taifa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limekiri kupokea barua ya kutaka kujiuzulu kwa nahodha wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ‘Samagol’, lakini imemkaushia kwamba hadi watakapofanya kikao cha pamoja ili kujadiliana naye. Kabla ya TFF, kutoa msimamo huo, Mwanaspoti liliandika mapema wiki iliyopita kuhusiana na hatua ya Samatta kuandika barua, ambapo baba mzazi wa…

Read More

Rais Samia apangua Ikulu, wizara, mikia na wilaya

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, huku sababu ikitajwa ni kuboresha utendaji kazi . Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Mabadiliko hayo ya viongozi yametangazwa Leo Alhamisi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. Katika uteuzi huo, Rais Samia amemteua Stanslaus Nyongo, kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,…

Read More

Wadau wataka sheria mpya leseni za usafirishaji

Dar es Salaam. Wadau wa usafirishaji wametoa wito kwa Serikali kutunga sheria mpya ya leseni za usafirishaji ili kutengeneza mazingira bora ya utendaji katika sekta hiyo. Kulingana na maoni waliyoyatoa, wamesema kuwa mfumo wa sasa wa udhibiti umepitwa na wakati na una vikwazo na hivyo kuzuia ukuaji na ufanisi wa huduma za usafirishaji. Kwa kuwa…

Read More

Sports inahitaji nyota saba tu!

BAADA ya kurejea katika Ligi ya Championship, African Sports ‘Wana Kimanumanu’ wameweka bayana kwamba wanahitaji wachezaji saba tu ili kuimarisha kikosi hicho kabla ya kuanza kwa ligi hiyo kwa msimu ujao. Mabingwa hao wa zamani wa Tanzania kupitia Ligi Kuu ya Muungano mwaka 1988, wameweka mipango hiyo ikiwa ni mwanzo wa maandalizi ya kujiandaa na…

Read More

Viongozi wa Amcos, makarani watakiwa kuzingatia weledi

Ruangwa. Serikali imesema haitasita kumchukulia hatua kali kiongozi yeyote wa chama cha ushirika (Amcos) atakayekwenda kinyume na maadili ya ushirika. Imesema wapo baadhi ambao tayari wamebainika wanashindwa kusimamia mazao ya wakulima na kusababisha kuibiwa hasa kwenye msimu wa ufuta. Akizungumza leo Alhamisi Juni 6, 2024 kwenye Jukwaa la pili la ushirika linalofanyika mjini Ruangwa, Mrajisi…

Read More