Adam apewa mwaka Azam FC
Azam imemsainisha mkataba wa mwaka mmoja, mshambuliaji Adam Adam, ambaye msimu ulioisha alimaliza na mabao saba, akiwa na Mashujaa FC na muda wowote kuanzia sasa itamtambulisha rasmi. Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ imeelezwa ndiye aliyesimamia dili lake, ndani ya mkataba huo kukiwa na sharti moja. Mmoja wa viongozi wa klabu hiyo aliliambia…