PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 4,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 4,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 4,2024 Featured • Magazeti About the author
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam June 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikikabidhi Bandari ya Dar es Salaam kwa Kampuni ya DP World, Serikali inaangalia namna ya kufanya upanuzi wa bandari hiyo ili kuendana na ongezeko la mizigo inayohudumiwa. Hiyo ni baada ya baadhi ya wamiliki wa migodi kutoka nchi jirani pia kuonyesha nia ya kuanza kutumia Bandari…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania June 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Mwanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu sita akiwamo raia mmoja wa Kenya kwa tuhuma za kukutwa na vipande 12 vya meno ya tembo. Akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao leo Jumatatu Juni 3, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema watuhumiwa wanne walikamatwa Mei 30, 2024 na vipande sita vya…
Tanga. Zaidi ya taa 600 za barabarani katika Jiji la Tanga zimebainika kuwa hazifanyi kazi kwa muda mrefu. Wafanyabiashara na watumiaji wa maeneo hayo wamelalamika kuathiriwa na hali hiyo waliyodai kuwa husababisha ajali na wananchi kuporwa mali zao. Wafanyabiashara wa maeneo ya barabara ya 12, 15 na 21 na mitaa mingine wakizungumza na Mwananchi Digital…
Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema suala la mgawanyo wa fedha za nyongeza ya Sh19 bilioni, wizara imepanga Sh14 bilioni ziwe za matumizi ya kawaida, sasa litapelekwa kwenye Kamati ya Bunge ya Bajeti. Spika amesema hayo baada ya kupokea marekebisho ya pande mbili, Serikali na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili…
BADO una nafasi ya kuendelea kuwa mshindi na kupiga mtonyo mrefu, kwa kushiriki promosheni ya Expanse ndani ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni. Ili upate mgao wako wa Mamilioni ni lazima uwe umejisajili Meridianbet, kisha ucheze michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni kutoka Expanse Studios. Kwenye Promosheni hii zawadi zinazotolewa ni nyingi, lakini washindi 40…
Dar es Salaam. Mshtakiwa Fadhil Athuman na wenzake wawili, wameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuwabadilishia shtaka la mauaji linalowakabili liwe shtaka la mauaji bila kukusudia. Ombi hilo limetolewa leo Jumatatu, Juni 3, 2024 kupitia wakili wao, Hassan Kiangio wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili washtakiwa kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo yaani ‘Committal Proceedings’. Kiangio…
SHAHIDI wa tatu wa upande wa mashtaka, Kiran Lalit Ratilal katika kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayowakabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54), ameshindwa kutoa ushahidi wake mahakakani kwa sababu wakili wa utetezi anayewatetea watuhumiwa hao anahudhuria kesi nyingine mahakama ya Rufaa. Wanandoa hao ambao ni raia wa Tanzania wenye…