Maelfu wahamishwa kusini mwa Ujerumani kufuatia mafuriko – DW – 03.06.2024

Tahadhari hiyo imetolewa wakati maelfu ya watu wakihamishwa na wengine wakilazimika kuyaacha makaazi yao baada ya kutokea mafuriko makubwa mwishoni mwa juma.  Maafisa wa uokoaji wanaendelea na zoezi la kuwahamisha watu kutoka maeneo yaliyokumbwa na mafuriko katika eneo hilo la kusini mwa Ujerumani huku Kansela Olaf Scholz akieleza kuwa, mafuriko hayo yanapaswa kuchukuliwa kama tahadhari….

Read More

Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

SHAHIDI wa upande wa mashitaka Kiran Lalit Ratilal, ameshindwa kutoa ushahidi katika kesi  ya kujeruhi inayowaabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54), kwa sababu wakili wa utetezi katika kesi hiyo yupo Mahakama ya Rufani kwenye shauri lingine. Anaripoti  Mwandishi Wetu ….(endelea) Wanandoa hao ambao ni raia wa Tanzania wenye asili ya kihindi wanaoishi…

Read More

Wagonjwa 36,404 wafikiwa na kambi ya madaktari bobezi

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema wagonjwa 36,404 kutoka mikoa 14 wamefikiwa katika huduma za matibabu kutoka kwa madaktari bingwa na bobezi, wanaozunguka wilaya mbalimbali  nchini. Kambi hiyo iliyozinduliwa rasmi Mei 6 2024  na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imewafikia wagonjwa hao kwa kipindi cha siku 25 hadi kufikia Mei 31 2024 na kumekuwa…

Read More

Halmashauri yatambua shule bora Babati

Katika kuendeleza Kukuza kiwango cha elimu nchi Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara imetoa Pongezi na vikombe vya heshima kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya wanafunzi wa darasa la nne na darsa la Saba. Hayo yamefanyika katika Mji wa Babati Mkoani Manyara ambapo shule ya Deira English Medium School imeongoza kwa kufanya vizuri…

Read More

Mahujaji 3,300 wanaoenda kuhiji wapewa somo

Dar es Salaam. Mahujaji wanaokwenda kuhiji Makka  wametakiwa kuwa makini na kufuata maelekezo ya viongozi ili kunufaika na nguzo hiyo muhimu kati ya tano za kiislamu. Pia, wametakiwa watakapokuwa hijja kujikita katika ibada kwa ajili ya mwenyezi Mungu. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Juni 3, 2024 na Sheikh Hamid Jongo kwa niaba ya Mufti wa…

Read More

Utamu, utata msimu wa 2023/24

MSIMU wa 69 wa soka la Tanzania umekamilika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho kufanyika visiwani Zanzibar na Yanga SC kushinda kwa changamoto ya mikwaju ya penalti 6-5 baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya 0-0. Yanga ambao pia ni mabingwa wa Ligi Kuu, wamefanikiwa kutetea mataji haya kwa msimu wa tatu mfululizo. Walishinda…

Read More