Msigwa akataa  rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi Nyasa

Iringa/Dar. Aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa amekata rufaa katika chama hicho, akidai ushindi alioupata Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ haukuwa halali. Hata hivyo, wakati Msigwa akisema hayo, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kama kweli Msigwa amekata rufaa na kufuata mfumo unaotakiwa,…

Read More

Serikali yaipongeza CRDB Bank Foundation kuwawezesha kiuchumi vijana na wanawake wajasiriamali nchini

Mkurugenzi wa Jinsia wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Badru Abdunuru aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya mafunzo ya ujasiriamali na elimu ya fedha akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 150 Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Data Sustainable Development Organization, Sihaba Madenge ambazo ni mtaji wezeshi kwa baadhi ya…

Read More

HISIA ZANGU: Kama Kelvin John angecheza soka kwa ajili yetu…

BAADA dakika chache kutangaza kwamba ameachana na klabu ya Genk ya Ubelgiji, Kevin John, mchezaji aliyewahi kupachikwa jina la ‘Mbappe wa Tanzania’ alijitangaza kuwa mchezaji mpya wa klabu ya Aalborg ya Denmark. Jezi yao inavutia na Kelvin ni mchezaji wao mpya kuanzia sasa. Kelvin amesogea au amerudi nyuma? Tusidanganyane. Amerudi nyuma. Nadhani hata yeye mwenyewe…

Read More

Ronaldo kuwasiliana na wachezaji wenzake wa zamani wa Madrid ili kuwashawishi wajiunge na Al-Nassr .

Ronaldo amewasiliana na wachezaji wenzake wawili wa zamani katika nia ya kuwashawishi wajiunge naye Al-Nassr, kulingana na ripoti. Fowadi huyo ametatizika kupata mafanikio ya uwanjani tangu alipohamia Saudi Pro League miezi 18 iliyopita, na kushindwa kushinda taji kubwa licha ya kufurahia maisha ya nje ya uwanja katika Mashariki ya Kati. Kikosi chake kimeshika nafasi ya…

Read More

Mambo matano ya Amaan Complex

UWANJA wa New Amaan Complex uliopo Unguja, Zanzibar, wenye uwezo wa kuingiza watazamaji zaidi ya 15,000, bado upo kwenye maboresho. Uwanja huo ambao umeipa heshima Yanga kwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuifunga Azam penalti 6-5, umekuwa wa kisasa zaidi tofauti na hapo awali. Mwaka 1970 uwanja huu ndiyo ulijengwa na…

Read More

Zaidi ya Milioni 1 wamelazimika kuhama Rafah – UNRWA

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limesema kuwa wakimbizi wa kulazimishwa kuhama makazi yao wamefikia zaidi ya watu milioni moja kutoka mji wa Rafah kusini mwa Gaza. Jeshi la Israel limewaambia raia kwenda kwenye “eneo lililopanuliwa la kibinadamu” lililo umbali wa kilomita 20 (maili 12). Wapalestina wengi wamelalamika kuwa wako…

Read More

Bilioni 1.75 kujenga soko la samaki Chato, Majaliwa aahidi ushirikiao kwa wavuvi na wafugaji

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema hayo leo tarehe 3 Juni 2024 alipoweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko la samaki la kisasa la Chato Beach, Chato mkoani Geita. Amesema kuwa mradi huo unaotoa…

Read More

Zaidi ya watu milioni moja wakimbia Rafah – DW – 03.06.2024

Shrika la UNRWA lilisema Jumatatu (03.06.2024) kuwa maelfu ya familia sasa wanapata hifadhi katika maeneo na miundombinu zilizoharibiwa katika jiji la Khan Younis, ambapo shirika hilo linatoa huduma muhimu licha ya changamoto zinazoongezeka. Shirika hilo limesema linafanya kazi katika mazingira magumu. Kulingana wizara ya afya ya Gaza watu wasiopungua 19 waliuwawa katika mashambulizi ya Israel usiku…

Read More

Wazir Junior atua kwenye rada za Ihefu

KAMA mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini muda wowote kuanzia leo Jumanne, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’, ambayo ilikwenda nchini Indonesia….

Read More