TOFAUTI ZA DINI, SIASA ZISIWAGAWE WATANZANIA – DKT. BITEKO
📌 Awataka waumini kushirikiana na Askofu Pangani 📌Serikali kuendelea kushirikiana na taasisi za dini nchini 📌 Rais Samia apewa tuzo kwa uongozi uliotukuka na kulinda amani *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kudumisha amani, mshikamano na upendo na…