NBC yazindua akaunti ya mfugaji kupiga jeki sekta ya mifugo

Benki ya Taifa ya Biashara NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini wakiwemo wafugaji, wanenepeshaji mifugo, wafanyabiashara wa mifugo, wasafirishaji wa mifugo na wadau mbalimbali wanaohudumia sekta hiyo muhimu kiuchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Huduma hiyo ya kwanza kutambulishwa na benki ya biashara nchini  ni maalumu kwa…

Read More

Wakili Mwambukusi ajitosa kuwania urais TLS, Heche ajiweka kando

Wakati Kamati ya Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Law Society  (TLS) ikiongeza muda kwa wanachama zaidi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali, wakili Boniface Mwabukusi ajitosa kuwania urais, huku mwenyekiti wa AYL anayemaliza muda wake  Edward Heche akieleza kuwa hatogombea tena. Chama hicho kinatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Agosti 2, 2024, jijini Dodoma, kuwapata viongozi wapya…

Read More

Chama cha ANC kuanza kuunda serikali ya mseto – DW – 02.06.2024

Huku asilimia 99.91 ya kura zikiwa zimehesabiwa kufuatia uchaguzi wa Jumatano, chama cha rais Cyril Ramaphosa cha ANC kilikuwa kimepata asilimia 40.2, matokeo ambayo ni mabaya kulinganisha na mwaka 2019 ambapo kilishinda asilimia 57.5 ya kura. “Chama cha ANC kimejitolea kuunda serikali itakayodhihirisha ari ya umma, iliyo imara na inayoweza kuongoza barabara,” alisema katibu mkuu…

Read More

Waandishi wajitosa kukabili mabadiliko ya tabiachi

Moshi. Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Kilimanjaro (Mecki) imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kupanda miti maeneo mbalimbali ikiwamo kwenye chemi chemi ya Miweleni. Upandaji miti hiyo ni jitihada za kuunga mkono Serikali katika mapambano dhidi ya uharibifu wa mazingira. Pamoja na hayo imetaka jamii, wenyeviti wa vijiji pamoja na watendaji wa maeneo hayo…

Read More