Wafugaji watajwa tembo kuvamia makazi ya watu

Dodoma. Wakati vilio vya wanyama waharibifu wakiwemo viboko, tembo na nyani kuvamia makazi ya watu vikisikika bungeni, wafugaji wanatajwa kuchangia hali hiyo. Wabunge pia wamepigia kelele fidia kwa wananchi wanaopata madhara kutokana na wanyama hao, wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2024/25. Wamechangia mjadala…

Read More

Mwakinyo mambo magumu, msimamizi WBO atoa masharti haya

Hali bado si shwari kwa bondia Hassan Mwakinyo, kutokana na tukio la kushindwa kupanda ulingoni jana usiku kuzipiga na  Mghana, Patrick Allotey kutetea ubingwa wa WBO Afrika. Mwanaspoti linalofuatilia kikao cha kujadili mipangto ya pambano hilo kurudiwa baada ya kukwama jana jiji Dar es Salaam kilikuwa hakijatoa muafaka hadi muda huu, kwani bado kuna mvutano…

Read More

Dk Biteko ataja maumivu ya walimu

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu,  Dk Doto Biteko ameeleza uzoefu wake katika kazi ya ufundishaji, akisema walimu wamekuwa wakiumia wanafunzi wao wanapofeli darasani na maishani. Dk Biteko ambaye amewahi kuwa mwalimu wa msingi, sekondari,  mkufunzi wa walimu na ofisa elimu,  amesema hayo leo Jumamosi, Juni 1, 2024 jijini Dodoma wakati wa hafla ya chakula cha pamoja…

Read More

MTU WA MPIRA: Aziz KI na mtihani mwingine kwa Yanga

STEPHANE Aziz Ki. Fahari ya Yanga kwa sasa. Amekuwa na msimu bora kuliko wakati mwingine wowote kwenye maisha yake ya soka. Amemaliza msimu akiwa kinara wa mabao katika Ligi Kuu Bara. Amefunga mabao 21. Ni miaka minne tangu mchezaji wa mwisho alipofunga mabao zaidi ya 20 kwenye msimu mmoja wa Ligi. Alikuwa Meddie Kagere wa…

Read More

Wawakilishi wacharuka utalii kupewa fedha kidogo

Unguja. Wakati Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale, ikiainisha vipaumbele vinane katika mwaka wa fedha 2024/25, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameonyesha wasiwasi,  kutokana na upatikanaji wa fedha kidogo katika bajeti ya mwaka unaoisha wa 2023/24 ilhali sekta hiyo ndiyo msingi mkuu wa mapato ya Taifa. Katika bajeti hiyo, kwa programu zake zote nne…

Read More