Mitazamo tofauti ya wadau kuhusu mapigano DRC

Dar es Salaam. Ingawa hatua zilizotangazwa na wakuu wa nchi baada ya kikao chao cha kumaliza mgogoro Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zinatajwa kuwa muhimu kwa sasa, wadau wamesema mustakabali wa amani ya Taifa hilo, utaamuliwa na uimara wa jeshi lake yenyewe. Sambamba na hilo, wadau hao wamesema njia nyingine ya utatuzi…

Read More

Kisa Fadlu Davids, Waarabu wabadili gia angani

Siku chache baada ya kocha wa Simba, Fadlu Davids kupiga chini ofa ya kujiunga na FAR Rabat, timu hiyo ya Morocco imemchukua kocha wa zamani wa Petro Luanda ya Angola, Alexandre Santos. Santos ndiye alikuwa akiinoa CS Sfaxien iliyochapwa na Simba katika mechi mbili za hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu….

Read More

Ushirikiano wa manispaa ya Moshi, Mji  wa Marburg Ujerumani wazaa matunda

Moshi. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, imepokea gari moja la zimamoto na uokoaji kutoka Jiji la Marburg nchini Ujerumani, ambalo litasaidia katika kukabiliana na majanga ya moto ambayo yamekuwa yakitokea maeneo mbalimbali katika Manispaa hiyo. Akizungumza wakati wa kukabidhi gari hilo kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji leo Jumapili Februari 9, 2025, Mstahiki…

Read More

Simba, Yanga kazi ipo Machi 4

DABI ya watani wa jadi inayowakutanisha Simba na Yanga itapigwa Machi 4 baada ya mapumziko ya siku 30 ya Ligi. Dabi hiyo ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) inapigwa siku nne tu kabla ya watani hao kwa upande wa wanaume kukutana Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8 Kwa Mkapa, Dar es Salaam. Ligi ya Wanawake…

Read More

Uwezo: Daraja sifuri lifutwe mitihani ya kitaifa

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita takriban wiki mbili tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2024, Shirika la Uwezo Tanzania limependekeza kufutwa kwa daraja sifuri, likisema uwepo wake unawaathiri kisaikolojia vijana. Badala yake, wamependekeza daraja la nne kutanuliwa wigo na kuwekwa utaratibu maalumu utakaowafanya wanaopata daraja la nne na sifuri kuingizwa…

Read More

Undani wa barabara Dar kuitwa Sam Nujoma

Dar es Salaam. Barabara ya Sam Nujoma, jijini Dar es Salaam ilipewa jina hilo la Rais wa kwanza na Baba wa Taifa la Namibia, Samuel Daniel Shafiishuna Nujoma miaka 1980, lengo likiwa kuenzi harakati za mpigania uhuru huyo. Nujoma kama alivyopenda kuitwa amefariki dunia leo Jumapili Februari 9, 2025, akiwa na miaka 95 akiacha alama…

Read More

Mwaka mmoja bila Lowassa, Rais Samia atoa ujumbe

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa Watanzania kuendelea kutunza amani ya nchi bila kuruhusu ushawishi wa aina yoyote wa kuivunja. Amesema wale wanaotamani kuvuruga amani wanapaswa kutafakari hali ya baadhi ya mataifa ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na duniani, ambako wananchi wanateseka kutokana na ukosefu wa utulivu, ikiwemo vita vya wenyewe kwa…

Read More

NI SAHIHI MSIMAMO WA WABUNGE KUTAKA NEMC KUWA NEMA

Na Mwandishi wetu KATIKA Dunia inayoendelea kwa kasi kwa kila nyanja, kuna kila sababu kwa Tanzania kuwa na chombo madhubuti cha kusimamia mazingira. Ni jambo lisilokuwa na ubishi kuwa kwa hali ya sasa na hata hapo baadae, Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira haliwezi tena kuhimili changamoto za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na…

Read More