Ushindi mechi nne mfululizo wamkosha Mourinho

KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema ‘Mourinho’ amesema ushindi wa mechi nne mfululizo kwenye ligi zinachangiwa na juhudi za wachezaji wake waliopambana hasa duru la pili. Kwenye mechi 11 za ligi Yanga Princess imepata ushindi mechi sita, sare tatu na kupoteza mechi mbili ikisalia nafasi ya tatu na pointi 24. Mourinho alisema mzunguko wa kwanza…

Read More

Watanzania wahakikishiwa fursa usimamizi wa mali, fedha

Mwanza. Wafanyabiashara, wawekezaji pamoja na Watanzania kwa ujumla,  sasa wanaweza kupata suluhisho maalumu la kifedha, ushauri wa uwekezaji na mipango ya usimamizi wa mali, ikiwa ni hatua ya kufanikisha malengo yao ya kifedha. Hilo linafuatia hatua ya Benki ya Stanbic kuzindua rasmi maboresho ya huduma zake za Private Banking jijini Mwanza, ikiwa ni hatua ya…

Read More

Laizer atangaza vita mpya TMA

BAADA ya kupata pointi nne katika michezo miwili akiwa na TMA FC ya jijini Arusha, kocha wa kikosi hicho, Mohamed Ismail ‘Laizer’, amesema maendeleo hadi sasa sio mabaya kwake, licha ya kukiri ana kazi kubwa ya kufanya ili kufikia malengo. Kocha huyo amejiunga na timu hiyo na kuiongoza katika michezo miwili akishinda mmoja kwa mabao…

Read More

Ndugu zake Aziz KI, Diarra washushwa Dar

WAKATI Ligi ya Wanawake ikisaliwa na mechi sita, Ligi ya Mkoa nayo ikitarajiwa kuanza, Ukerewe Queens ambayo kwa sasa inaitwa Tausi FC imefanya usajili wa maana kujiandaa na ligi hiyo ikiwaleta ndugu zao nyota wa Yanga, Djigui Diarra na Stephane Aziz KI. Ukerewe ambayo ilikuwa inashiriki Ligi ya Mkoa wa Mwanza imenunuliwa na kampuni ya…

Read More

Wanakimanumanu waanza kujipata | Mwanaspoti

KOCHA wa African Sports ‘Wanakimanumanu’, Kessy Abdallah amesema angalau kwa sasa timu hiyo inaendelea kuimarika tofauti na mwanzoni na sababu kuu ni mbili, kuchezea nyumbani na wachezaji kufuata maelekezo yake kwa ufasaha. Timu hiyo imeshinda michezo miwili mfululizo kwa mara ya kwanza msimu huu, tangu mara ya mwisho ilipochapwa mabao 2-0 na Transit Camp Januari…

Read More

Moto wa Clara Luvanga wawatisha Waarabu

MOTO wa straika wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga haupoi na safari hii anawania tuzo ya mchezaji bora wa mwezi mbele ya Waarabu. Tuzo hizo zinatolewa kila mwezi zikiangazia wachezaji watatu wanaofanya vizuri kisha kupigiwa kura na kumjua mshindi wa tuzo hiyo. Clara ni Mtanzania pekee anayeingia katika tuzo hizo dhidi ya Mmoroco,…

Read More

Dk Magoma wa Chadema afariki, Lissu kuongoza mazishi Jumanne

Hanang’.  Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Manyara, Dk Derick Magoma, amefariki dunia leo, Jumapili, Februari 9, 2025, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alipokuwa akipatiwa matibabu. Dk Magoma, enzi za uhai wake, aligombea ubunge wa Hanang’ kwa tiketi ya Chadema katika vipindi viwili, mwaka…

Read More

Mwanasiasa mkongwe Nicodemus Banduka afariki dunia

Moshi. Mwanasiasa mkongwe nchini, Nicodemus Banduka(80) amefariki dunia akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mloganzila iliyopo Jijini Dar es Salaam. Banduka ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na serikalini, amefariki dunia Ijumaa Februari 7, 2025. Akizungumza na Mwananchi digital leo Jumapili Februari 9, 2025, mmoja wa ndugu wa familia hiyo, Salehe…

Read More

SERIKALI YASHAURIWA KUSIMAMIA WAKANDARASI UJENZI UWANJA WA NDEGE MSALATO, BARABARA ZA MZUNGUKO

Na Janeth Raphae,Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeshauri Serikali kusimamia vema Mkandarasi anayejenga uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini Dodoma ili akamilishe ujenzi wa uwanja huo kwa wakati kulingana na muda mkataba. Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo walipotembelea uwanja huo pamoja na ujenzi wa barabara za mzunguko, Mwenyekiti…

Read More