Dk Biteko atoa maagizo Ewura, asifu utekelezaji wa kazi
Tanga. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameutaka uongozi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), kuhakikisha upatikanaji endelevu wa mafuta kwa gharama halisi, kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya sheria, na kushughulikia malalamiko ya wateja kwa haraka ili kuboresha huduma kwa Watanzania. Dk Biteko ametoa maagizo…