Bodi ya mikopo yavuna faida Sh1.5 trilioni ndani ya miaka 20
Dar es Salaam. Zaidi ya Sh1.5 trilioni imetengenezwa kama faida na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kupitia mikopo ya Sh8.2 trilioni iliyotolewa kwa wanafunzi. Faida hiyo imepatikana kupitia mikopo iliyowanufaisha zaidi ya wanafunzi 830,000 waliosoma katika ngazi mbalimbali ndani ya miaka 20. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati wa kilele…