Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 145 za mirungi

Dar es Salaam. Said Ndomboloa na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina mirungi zenye uzito wa kilo 145.20. Mbali na Ndombokoa, washtakiwa wengine ni Hamisi Ndomboloa na Amor Seiph. Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Februari 17, 2025, na kusomewa mashtaka…

Read More

Mziki wa Samatta wamkuna kocha PAOK

KOCHA wa PAOK, Razvan Lucescu, ameonyesha kuridhishwa na kiwango cha sasa cha mshambuliaji wake na nahodha wa Taifa Stars,  Mbwana Samatta ambaye amefunga mabao manne na kutoa asisti moja katika michezo mitatu iliyopita na mashindano yote ikiwemo Europa League. Samatta aliyeanza kuonyesha makali kuanzia Februari 8 katika mchezo wa Ligi Kuu Ugiriki ‘Super League’ dhidi…

Read More

Maalim Seif  Kuombewa Dua Leo  – Global Publishers

“Ndugu wananchi wa Zanzibar na Watanzania kwa ujumla, kwa masikitiko makubwa nakujulisheni leo tarehe 17 Februari, 2021, majira ya saa tano asubuhi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki dunia.” Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akitangaza kifo cha Maali…

Read More

Ratiba za ndege zafuta mechi za usiku Jamhuri

BILA shaka umewahi kushuhudia mechi za Ligi Kuu zinazopigwa usiku Uwanja wa Jamhuri, Dodoma zikisimamishwa kwa taa kuzimwa ikielezwa ni kupisha ndege zinazopaa na kushuka Uwanja wa Ndege wa Dodoma, basi Bodi ya Ligi (TPLB) imekata mzizi wa fitina kwa kuzifuta mechi hizo. Bodi ya ligi imeamua kuzifuta mechi zote za usiku zilizokuwa zikipigwa siku…

Read More

TCAA yaonya matumizi mabaya ya ‘drones’

Moshi. Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema kumekuwepo na matumizi mabaya ya ndege zisizo na rubani (drones), hali ambayo inatishia usalama wa anga. Amesema licha ya teknolojia hiyo kuwa nzuri na muhimu, bado kumekuwepo na baadhi ya watu, ikiwemo waandishi wa habari, kuitumia vibaya kinyume cha sheria. Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Salim Msangi,…

Read More

Kamati ya Waziri Jafo wageni Kariakoo yafikia asilimia 50

   …Yaaendelea kuwahoji wafanyabiashara Na Mwandishi Wetu KAMATI iliyoundwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo kuchunguza wafanyabiashara wa kigeni maeneo ya Kariakoo imefikia asilimia 50 ya uchunguzi wake na imeahidi kukabidhi ripoti hiyo Machi 2 kama ilivyoagizwa. Februari 2 Waziri Jafo aliunda Kamati ya watu 15 kuchunguza wafanyabiashara wa kigeni eneo la…

Read More

Watuhumiwa wa Ubakaji na ulawiti wafungwa Maisha Jela,280 vifungo mbalimbali

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi- Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa kipindi cha kuanzia mwezi Januari, 2025 hadi Februari 2025 lilifanya operesheni dhidi ya uhalifu na wahalifu na kufanikiwa kukamata watuhumiwa  mbalimbali na kuwafikishwa Mahakamani. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamjzi wa Polisi SACP Justine Masejo…

Read More

ECLAT NA UPENDO WAPELEKA NEEMA YA ELIMU NGORIKA.

Na John Walter -Simanjiro. Shirika la ECLAT DEVELOPMENT FOUNDATION kwa kushirikiana na Upendo Association limekabidhi rasmi Shule Mpya ya Msingi Kariati iliyopo Kijiji cha Ngorika, Kata ya Ngorika, Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara kwa serikali baada ya kukamilisha ujenzi wake. Gharama za ujenzi wa shule hiyo ni shilingi milioni 121.1. Shule hiyo mpya inajumuisha…

Read More