Sababu Bunge kupitisha Sh945. 7 bilioni ya nyongeza

Dodoma. Bunge limepitisha nyongeza ya mapato na matumizi ya jumla ya Sh945.7 bilioni kwa ajili ya nyongeza kwenye Bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25 kutoka Sh49.346 trilioni zilizoidhinishwa Juni mwaka jana hadi Sh50.291 trilioni. Bajeti hiyo imewasilishwa leo, Februari 14, 2025 na na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, siku ya mwisho ya Mkutano wa…

Read More

Yanga yarudi kileleni, rekodi mpya yaandikwa

Yanga yarudi kileleni, rekodi mpya yaandikwa YANGA imeendeleza rekodi katika Ligi Kuu Bara baada ya kuifumua KMC kwa mabao 6-1 kwenye Uwanja wa KMC Complex, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam, huku Stephane Aziz Ki akifunga hat trick inayokuwa ya pili msimu huu, ikiwamo ya kwanza ya Prince Dube. Matokeo hayo yameirejesha Yanga kileleni kwa…

Read More

Dar Swim kushiriki mashindano ya taifa Kenya

TIMU ya kuogelea ya Dar Swim Club inatarajia kushiriki mashindano ya taifa ya Kenya ‘Kenya Aquatics Long Cource Championship’ yanayotarajiwa kuanza Jumamosi, Februari 15 hadi 16. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa timu hiyo, Kanisi Mabena amesema wameondoka nchini leo ‘jana’ na waogeleaji sita anaoamini wataenda kufanya vizuri kwenye mashindano hayo kutokana na walivyofanya maandalizi ya…

Read More

Hizi hapa faida, hasara za kula miguu ya kuku

Dar es Salaam. Kwa Tanzania, hususan jijini hapa, ulaji wa miguu ya kuku ni maarufu zaidi maeneo ya pembezoni, wengi wakipenda kuila na chachandu au kachumbari. Kiungo hiki mara nyingi, kama zilivyo firigisi, vichwa, utumbo pamoja na shingo, huuzwa tofauti na nyama ya kuku. Si kwamba vijijini au mikoa mingine hawali miguu ya kuku, la…

Read More

Trump anavyoutikisa mkutano wa G20 Afrika Kusini

Mkutano wa G20 wa Afrika Kusini ulitarajiwa kuwa fursa kwa mataifa tajiri, yenye nguvu kutilia maanani masuala ya nchi maskini zaidi kama vile kuongezeka kwa ukosefu wa usawa na kukosekana kwa maendeleo katika vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Lakini nchi tajiri, yenye nguvu zaidi, Marekani, haitashiriki mkutano huo. Waziri wa Mambo ya Nje wa…

Read More

Kagera Sugar yazinduka Kaitaba | Mwanaspoti

KAGERA Sugar imemaliza ukame wa ushindi baada ya kushinda nyumbani wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate ikiwa kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba huku mshambuliaji raia wa Uganda, Peter Lwasa akifunga penalti mbili zilizoiwezesha wenyeji kupata ushindi wa tatu msimu huu. Kabla ya mchezo huo uliopigwa jioni ya leo, Kagera ilikuwa imecheza mechi nane…

Read More

Polisi Simiyu wamnasa luteni feki wa JWTZ

Simiyu. Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemkamata mtu mmoja anayejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), akiwa na sare za jeshi hilo. Mtu huyo aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Mapana (24), mkazi wa Mtaa wa Sima mjini Bariadi, alikutwa na sare zinazofanana na za jeshi hilo, zikiwa na cheo cha luteni. Kwa…

Read More

'Hakuna Wakati wa Kupoteza' huko Gaza, kwani kusitisha mapigano kunapeana mabadiliko dhaifu – maswala ya ulimwengu

UN ni mbio dhidi ya wakati kupanua misaada ya kibinadamu na kujiandaa kwa kazi kubwa ya kujenga tena Gaza, kama kusitishwa kwa joto kunashikilia lakini mvutano unakua juu ya uwezekano wa mapigano. “Hakuna wakati wa kupoteza,” mkuu wa ofisi anayehusika na juhudi za ujenzi wa UN (UNOPS), Jorge Moreira da Silva, Wakati wa mkutano huko…

Read More

Serikali yaanika hatua za ukarabati wa meli Ziwa Tanganyika

Dodoma. Serikali imetaja mkakati wa ukarabati wa meli katika Ziwa Tanganyika na kuwa mwezi ujao (Machi) ujenzi wa meli ya Mv Sangara utakuwa umekamilika. Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ametoa kauli hiyo bungeni Dodoma leo Februari 14, 2025, kuwa Serikali ilishaanza mkakati wa ukarabati wa meli zinazotoa huduma katika Ziwa Tanganyika. Kihenzile alikuwa akijibu…

Read More