Global Publishers
March 12, 2026
0 Comments
Serikali kupitia Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) imetangaza nafasi 83 za ajira katika Benki Kuu ya Tanzania (BOT), ikiwataka Watanzania wenye sifa kuomba nafasi hizo.
NAFASI ZA KAZI BENKI KUU YA TANZANIA (BOT) 10-03-2026
Baadhi ya Nafasi Zilizotangazwa
-
Security Guard III – 13
-
Bank Officer III – 13
-
Accountant III – 8
-
IT Technician III – 6
-
Bank Examiner III – 6
-
Computer Analyst/Programmer III – 5
-
Internal Auditor (Systems Auditor) III – 4
-
Receptionist III – 4
-
Personal Secretary III – 3
-
Human Resource Officer III – 3
-
Legal Officer III – 2
-
Security Officer III – 2
-
Porter III – 2
-
Supplies/Procurement Officer III – 2
-
Kitchen Attendant III – 2
-
Mechanical Engineer III – 1
-
Electrical Engineer III – 1
-
Planning Officer III – 1
-
Financial Analyst III – 1
-
Electrical Technician III – 1
-
Electronics Technician III – 1
-
Business Analyst III – 1
-
Programmes Coordinator/Instructor III – 1
Masharti Muhimu ya Waombaji
-
Mwombaji lazima awe raia wa Tanzania.
-
Umri usizidi miaka 45 (isipokuwa kwa taasisi za kijeshi ambapo masharti ni tofauti).
-
Waombaji waambatanishe vyeti muhimu kama:
-
Matokeo ya Form IV/VI slips hayakubaliki.
Jinsi ya Kutuma Maombi
Maombi yote yanapaswa kutumwa kupitia tovuti ya ajira ya serikali:
👉 http://portal.ajira.go.tz
Mwombaji pia anatakiwa kuandika barua ya maombi kwa:
Katibu
Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
S.L.P 2320
Dodoma
Mwisho wa Kutuma Maombi
📅 24 Machi 2026
Ni waombaji watakaopitishwa kwenye mchujo pekee ndio watakaoitwa kwenye usaili.