Admin

Benchikha na msala wa 5-1 za Yanga SC

Ilikuwa Novemba 5, 2023 uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo Yanga iliichapa Simba mabao 5-1 kwenye mechi ya ligi na kupelekea kufutwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa wekundu wa Msimbazi, Roberto Oliveira ‘Robertinho’. Ni mechi iliyokuwa na hisia mbili tofauti. Furaha kwa wageni Yanga. Huzuni kwa kwa wenyeji Simba. Iliichukua Yanga dakika tatu kuandika bao…

Read More

NIONAVYO: Kombe la Dunia la klabu ni vita mpya ya pesa

TANZANIA, Afrika Kusini na labda Afrika nzima mitandao imejaa mjadala wa uamuzi wa kutia shaka wa refa wa mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliozikutanisha Young Africans au Yanga na Mamelodi Sundowns au Masandawana ya Pretoria, Afrika Kusini. Kutolewa kwa Yanga ni kilio kwa wapenzi wa Yanga, lakini ni kicheko kwa watunzaji…

Read More

Nabi, Robertinho walivyoitabiri Dabi | Mwanaspoti

JUMAMOSI ni Dabi. Yanga ambayo ndio wenyeji wa mchezo huu,misimu miwili nyuma ilikuwa ikiongozwa na kocha Nasreddine Nabi kabla ya kuja kwa Miguel Gamondi na kuacha rekodi kubwa ya kufika Fainali ya Kombe la Shirikisho msimu uliopita na kutwaa taji la FA na Ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Kuelekea katika mtanange huo wa…

Read More

Acha inyeshe tujue panapovuja Dabi ya Kariakoo

PRESHA ya mchezo wa ‘Kariakoo Dabi’ kwa mashabiki wa Yanga na Simba nchini tayari imeanza kupanda wakati ikibakia siku moja tu kwa miamba hiyo kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kesho Jumamosi kuisaka heshima baina yao. Kitendawili cha nani mbabe kitateguliwa Jumamosi hii ingawa Yanga inaingia katika mchezo huo ikiwa na morali kubwa hasa baada…

Read More

Hawa wanaweza kuwa sapraizi | Mwanaspoti

Mwisho wa tambo kwa mashabiki wa Yanga na Simba ambao kila mmoja anavutia ushindi upande wake ni Jumamosi kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa ambapo hii itakuwa ni nafasi kwa Mnyama kulipiza kisasi cha mzunguko wa kwanza au Wananchi kuendeleza ubabe katika mchezo huo wa dabi. Tofauti na ilivyokuwa katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, Simba…

Read More

Kilio cha ma-DC kuazima magari chazua gumzo

Dar es Salaam. Wakati Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Seriali za Mitaa (Tamisemi),  ikipanga kutumia Sh190.57 bilioni kwa ajili ya ununuzi wa magari ya viongozi wa mikoa na wilaya, suala hilo limeibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi, wengine wakiona ni mwendelezo wa matumizi mabaya ya fedha za umma. Kwa upande mwingine, baadhi ya…

Read More