Admin

Liverpool, West Ham zafuata njia ya Arsenal, Man City

LONDON, ENGLAND. LIVERPOOL na West Ham United zimetolewa katika michuano ya Europa League, baada ya kushindwa kupindua meza katika michezo ya mkondo wa pili. West Ham United vs Bayer Leverkusen Liverpool ambayo ilichapwa bao 3-0 na Atalanta, Alhamisi  wiki iliyopita uwanjani Anfield imeibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa marudiano, lakini haujaisaidia. Bao…

Read More

Fahamu njia sahihi ya kuacha pombe kiafya

Dar es Salaam. Ni uchungu kwa ndugu pale mpendwa wao anapoangukia kwenye unywaji wa pombe wa kupindukia. Mara nyingi hufanya jitihada za kusaidia na wengine kuhangaika kwa waganga wa kienyeji kutafuta dawa ya kukabiliana na hali hiyo. Wachungaji hufanya maombi huku wengine wakiwekewa dawa za kutapika ili waachane na ulevi. Hata hivyo, mara nyingi tunaambiwa…

Read More

Kauli ya ‘tutawapoteza’ ya kigogo UVCCM moto

Mwanza/Kagera. Kauli ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Faris Buruhan ya kulitaka Jeshi la Polisi kutowatafuta vijana wanaotukana viongozi mtandaoni pindi watakapokuwa wamepotezwa, imezuia mjadala baada ya watu kuanza kukumbushia waliopotea kusipojulikana. Aprili 16, 2024, akizungumza na viongozi pamoja na vijana wakati wa ziara yake katika mji mdogo wa Rulenge Ngara mkoani…

Read More

Sh750 milioni zatengwa kuwapa mitaji wakulima wadogo wa shayiri

Dar es Salaam. CRDB Bank Foundation (CBF) imetenga kitita cha Sh750 milioni ili kuwapa mitaji wezeshi wakulima wadogo wa shayiri kwenye mikoa ya Kaskazini. CBF imebainisha hayo hivi karibuni wakati wa kusaini mkataba wa makubaliano (MoU) na kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) kwa ajili ya ushirikiano unaolenga kuwawezesha wakulima wadogowadogo wa zao hilo. Mkurugenzi…

Read More

Wasomi wa vyuo wapewa mbinu kujipima

Iringa.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu, Profesa Joseph Ndunguru, amesema eneo la kwanza la muhitimu wa chuo kikuu analopaswa kujipima ni kutengeneza kitu  kitakachokuwa  suluhisho la changamoto kwenye jamii yake. Amesema swali hilo litawafanya wang’amue kama elimu waliyohitimu ina manufaa kwa jamii inayohitaji majibu ya maswali yao kutoka kwa wasomi….

Read More

Kauli ya Mwenyekiti UVCCM yawasha moto, Jaji Mutungi, Sheikh Ponda, RPC

Mwanza/Kagera. Kauli ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Faris Buruhan ya kulitaka Jeshi la Polisi kutowatafuta vijana wanaotukana viongozi mtandaoni pindi watakapokuwa wamepotezwa, imezuia mjadala baada ya watu kuanza kukumbushia waliopotea kusipojulikana. Aprili 16, 2024, akizungumza na viongozi pamoja na vijana wakati wa ziara yake katika mji mdogo wa Rulenge Ngara mkoani…

Read More