Admin

ACB yazindua kadi ya Visa kukidhi matarajio ya wateja

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba (ACB) imezindua huduma ya kadi za VISA ambazo ni mahususi kwa kufanya miamala ya kifedha na ina uwezo wa kutumika sehemu yoyote duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mkurugenzi Mtendaji wa ACB, Silvest Arumasi, amesema benki inafanya maboresho makubwa ya huduma za kifedha kwa wateja wake ili…

Read More

Mfanyabiashara aliyedai kuhujumiwa na halmashauri,  achunguzwa

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imeanza uchunguzi wa kampuni ya The Tanganyika Wilderness Camps Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara wa utalii, Wilbard Chambulo, iliyobainika kufanya kazi nchini bila kusajiliwa kwenye mfumo wa kodi wa Tausi. Kampuni hiyo imebainika kufanya kazi za utalii hapa nchini hivi karibuni bila kusajiliwa katika mfumo wa Serikali wa Tausi, huku…

Read More