Admin

Sh900 milioni zaboresha Hospitali ya Wilaya Nachingwea

Nachingwea. Serikali imetoa Sh900 milioni kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya afya katika hospitali kongwe ya Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Fedha hizo zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa maabara ya kisasa, kichomea taka ambacho kinatumia umeme na mafuta, jengo la kufulia nguo na la wagonjwa wa nje…

Read More

Sh900 milioni kuboresha Hospitali ya Wilaya Nachingwea

Nachingwea. Serikali imetoa Sh900 milioni kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya afya katika ospitali kongwe ya Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Fedha hizo zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa maabara ya kisasa, kichomea taka ambacho kinatumia umeme na mafuta, jengo la kufulia nguo na la wagonjwa wa nje…

Read More

Mbunge ataka wanaofanya biashara na watoto watafutiwe maeneo

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Janeth  Mahawanga amehoji iwapo Serikali haioni umuhimu wa kuwatafutia maeneo wanawake wenye watoto wadogo wajasiriamali wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara wakati wakisubiri kuwatengea maeneo husika. Akiuliza maswali ya nyongeza bungeni leo Ijumaa Aprili 19, 2024, Janeth pia amehoji lini Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kitatengeneza programu mahususi kwa ajili…

Read More

Shangingi lililosafirisha wahamiaji haramu Manyara lataifishwa

Babati. Gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 VXR maarufu kama Shangingi lililotumika kuwabeba Waethiopia 17 walioingia nchini bila vibali na kutelekezwa Babati mkoani Manyara, limetaifishwa huku wahamiaji hao wakitakiwa kulipa faini ya Sh500, 000 kila mmoja au kwenda jela miaka miwili. Aprili 7, 2024, gari hilo lilikamatwa eneo la Kiongozi mjini Babati baada ya…

Read More

Suala la ndoa kuvunjika latinga tena bungeni

Dodoma. Mbunge wa Same Magharibi, Dk David Mathayo amehoji Serikali ina mpango gani wa kutoa elimu kwa Watanzania kuonyesha umuhimu wa watoto kulelewa na wazazi wawili, kutokana na ndoa nyingi kuvunjika. Dk Mathayo amehoji hayo katika swali la nyongeza leo Ijumaa Aprili 19, 2024 wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma. Amesema…

Read More

Matola: Yanga ni bora ila msikariri!

KOCHA Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema hakuna mechi rahisi ya dabi wanawaheshimu wapinzani wao kutokana na kuwa bora lakini wao pia wamejiandaa kukabiliana nao. Matola amesema mchezo wa kesho ni mchezo tofauti na uliopita pamoja na ubora wa Yanga na wao wamejiandaa kuhakikisha wanapata matokeo. ”Hii ni mechi mpya na kutakuwa na mbinu tofauti,…

Read More

Tanesco kuajiri 430, wamo mafundi mchundo

Dodoma. Bunge limeelezwa kuwa watumishi 430 wataajiriwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika mwaka 2024/25. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema hayo leo Ijumaa Aprili 19, 2024 alipojibu swali la mbunge wa Tunduru Kusini, Daimu Mpakate. Mbunge huyo amehoji ni lini Serikali itaajiri madereva na mafundi ambao wamekuwa vibarua wa muda mrefu kwenye…

Read More

10 za Kariakoo Dabi si mchezo!

JUMAMOSI ya wiki hii, kuna Kariakoo Dabi inapigwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, Yanga ni wenyeji wa mchezo huo wa Ligi Kuu Bara wakiikaribisha Simba. Hii ni Kariakoo Dabi ya 112 ndani ya Ligi Kuu, huku tukiwa na kumbukumbu ya ile ya mzunguko wa kwanza, waliokuwa wageni, Yanga waliibuka na ushindi mnono wa…

Read More