
Chalamila atishia kumweka ndani mkandarasi mwendokasi
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto. Amesema kama hali itaendelea hivyo, atamweka ndani mkandarasi au mhandisi mshauri. Ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2024 alipofanya ziara kukagua ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu…