Admin

Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 54 baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano ya amani katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, imeandaa mengine ya nchi nzima. Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti -Bara, Tundu Lissu watashiriki maandamano hayo na ratiba imetolewa ikieleza namna watakavyoyaongoza….

Read More

Nyota Lille awafuata Ronaldo, Messi wapya Bongo

NILETEENI wachezaji wa maana’. Ndivyo alivyoagiza mchezaji wa zamani wa Lille ya Ufaransa, Souleymane Youla ambaye Juni mwaka huu, atatua nchini akiongoza jopo la maskauti kutoka barani Ulaya kwa kazi moja tu kuhakikisha wanaondoka na Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wapya kutoka Tanzania. Youle ambaye kwa sasa amejikita katika kutafuta vipaji huku akifanya kazi kwa…

Read More

Ubaruku, Mbarali wafurika kumlaki Dk. Nchimbi

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na vijana waendesha bodaboda, baada ya kuwasili na msafara wake katika Kata ya Ubaruku, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, leo Aprili 18, 2024, akitokea Mbeya Mjini. Dk Nchimbi alisimama kuwasalimia wananchi…

Read More

Mafua: Hadi Diamond aliwahi kukodi cheni kwangu

BURUDANI yake kubwa siku zote kwake imekuwa kupanda juu ya ulingo kama msaidizi wa bondia na ikishindikana kwa bondia wa ndani basi usishangae kumuona akiwa kwenye kona ya bondia mpinzani hata akiwa anatokea nje ya mipaka ya Tanzania. Yaani yale masuala ya uzalendo ambayo serikali kupitia kwa Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Damas…

Read More

Galaxy AI Now Supports More Languages with Latest Update – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Samsung Electronics Co., Ltd. today announced the upcoming expansion of three new languages for Galaxy AI: Arabic, Indonesian, and Russian, as well as three new dialects: Australian English, Cantonese, and Quebec French. In addition to the 13 languages[1] already available, Samsung empowers even more Galaxy users around the world to harness the power of mobile AI. In addition to these new languages and…

Read More

PUMZI YA MOTO: Kutoka Neverkusen hadi Neverlosing

KAMA kuna hadithi tamu ya kuisimilia katika ulimwengu wa soka, basi ni hii ya muujiza wa kocha Xabi Alonso na klabu yake ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani. Baada ya miaka 120 ya uhai wao, Bayer Leverkusen wameshinda kwa mara ya kwanza taji la Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga).Timu hiyo iliyoanzishwa mwaka 1904 ilikuwa imeshinda mataji mawili…

Read More