Admin

Serikali kupanua mkongo wa Taifa kuboresha mawasiliano

Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi vya intaneti kuwa juu, Shirika la Mawasiliano nchini (TTCL) limeanza kupanua mkongo wa Taifa na kuuongezea uwezo wake ili kufikisha mawasiliano pande zote nchini kwa gharama nafuu. Wakizungumza leo wakazi wa mkoani Mwanza wamesema bei za vifurushi vya intaneti zinawaumiza hasa wajasiriamali wanaofanya shughuli zao mitandaoni….

Read More

Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali zote za Tanzania na Zanzibar mbili zinaendelea kuchukua hatua mbalimbali kushughulikia na kupata ufumbuzi wa changamoto za Muungano zinazojitokeza. Amesema utatuzi wa changamoto hizo umezidi kujenga imani kubwa kwa wananchi kuhusu uimara wa Muungano huo. Kwa nyakati mbalimbali juhudi zimekuwa zikichukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Petroli yaadimika Zanzibar, wananchi wapaza sauti

Unguja. Zanzibar inakabiliwa na ukosefu wa mafuta ya Petroli kwa siku mbili mfululizo na kusababisha adha kwa wananchi wanaohitaji nishati hiyo.  Tatizo hilo limeanza Aprili 14, 2024 hadi leo Aprili 16, 2024 vituo vingi vya kuuzia mafuta vimeshuhudiwa vikiwa na idadi ndogo ya wafanyakazi kinyume na ilivyozoeleka. Kutokana na kadhia hiyo, kumesababisha kupanga kwa gharama…

Read More

Polisi yawashikilia watu 21 wakituhumiwa kwa uhalifu

Unguja. Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhumiwa 21 wakidaiwa kujihusisha na matukio ya wizi, uporaji na unyang’anyi wa kutumia mapanga.  Watuhumiwa wamekamatwa baada ya polisi kufanya oparesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na matukio ya uhalifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 16, 2024 ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi,…

Read More

Petroli yaanza kupatikana, hofu bado Unguja

Unguja. Licha ya huduma ya mafuta ya petrol kuanza kupatikana usiku wa kuamkia leo Jumatano, Aprili 17, 2024 kisiwani Unguja, bado hofu imeendelea kuibuka kutokana na kiasi kidogo kinachodaiwa kupatikana. Kwa takribani siku tatu kuanzia Aprili 14 hadi Aprili 16 Unguja ilikabiliwa na upungufu wa petroli katika vituo vingi vya mafuta, kusababisha adha kwa wananchi…

Read More

Kipa wa Simba SC mama’ke ni Yanga

MAMA mzazi wa kipa wa Simba, Hussein Abel, Mwaija Husein Fadhir amekiri kuwa yeye ni Yanga damu lakini hilo halihusiani na kazin ya mwanae. Amesema mchezo wa dabi anaiombea sana ushindi chama lake Yanga, lakini iwapo Wekundu watampanga mwanae golini anaomba mchezo uwe sare. Yanga na Simba zinachuana Jumamosi kwenye mechi ya Ligi Kuu, huku…

Read More

Mbunge azikataa ‘English Medium’ za Serikali

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Taska Mbogo amezichongea manispaa na halmashauri kwa kuanzisha shule za mkondo wa Kiingereza ‘English Medium’ na kulipia ada, hali ambayo ni tofauti sera ya Serikali ya elimu bila malipo. Mbogo amesema hayo leo Alhamisi Aprili 18, 2024 wakati akichangia taarifa ya makadirio ya mapato na mtumizi kwa mwaka wa…

Read More

Moravian yapata Askofu Mkuu, kuapishwa Juni 2

Mbeya. Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo Kuu la Magharibi (KMT-JKM), Dk Alinikisa Cheyo amepata mrithi wake baada ya Mchungaji Robert Pangani kuteuliwa kushika nafasi hiyo. Mchungaji Pangani atasimikwa kukalia kiti hicho Juni 2 mwaka huu, huku Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe hizo. Mchungaji Pangani amechaguliwa na…

Read More

Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes’ la kutopata nafasi ya kushiriki mashindano mbali mbali yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF).Hayo yamesemwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi…

Read More