Admin

Raska Zone hesabu kali wakiitisha KVZ

WAKATI Raska Zone ikianza mazoezi kujiandaa na Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja, mastaa wametamba kurejea uwanjani kwa nguvu mpya kutafuta kupanda Ligi Kuu msimu ujao. Timu hiyo imekuwa na matokeo mazuri ikianza kufuzu 16 bora ya Kombe la Shirikisho, ipo nafasi ya pili kwa pointi 27 kwenye Ligi Daraja la Kwanza ikiachwa alama…

Read More

SERIKALI YABAINISHA MPANGO WA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI KUZALISHA BIDHAA BORA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biasha, Exaud Kigahe amebainisha mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika. Akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalum, Ester Malleko ambaye alitaka kujua mpango wa Serikali wa kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora na kupata masoko ya uhakika. Akijibu swalin hilo, Kigahe…

Read More

Huduma ya maji yarejeshwa Hanang, wakazi 26,900 kunufaika

Hanang. Baada ya uharibifu wa miundombinu ya maji Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliosababishwa na maporomoko ya udongo, Shirika la WaterAid Tanzania limekarabati chanzo cha maji cha Nangwa kinachotegemewa na wananchi 26,900. Desemba 3, 2023, yalitokea mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyoambatana na mawe, magogo na maji kutoka Mlima Hanang na kusababisha vifo vya watu…

Read More

Tanimu: Beki Ihefu aliyekipiga na Osimhen, Iwobi na Ihenacho

Wiki chache zilizopita bendera ya Tanzania ilipepea huko Nigeria kwa mchezaji wa Ligi Kuu Bara, Benjamin Tanimu kutoka Ihefu (Singida Black Stars) kuitwa na kucheza katika kikosi cha Super Eagles kilichokuwa na mastaa kama vile Nathan Tella (Bayer Leverkusen), Victor Osimhen (Napoli), Kelechi Iheanacho (Leicester City) na Alex Iwobi (Fulham FC). Tanimu ambaye ni beki…

Read More

Kizungumkuti ununuzi magari ya ma-RC, DC

Dar es Salaam. Wakati Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Seriali za Mitaa (Tamisemi),  ikipanga kutumia Sh190.57 bilioni kwa ajili ya ununuzi wa magari ya viongozi wa mikoa na wilaya, suala hilo limeibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi, wengine wakiona ni mwendelezo wa matumizi mabaya ya fedha za umma. Kwa upande mwingine, baadhi ya…

Read More

Sunzu, Maftah watia neno Derby

MASTAA wa zamani wa Simba na Yanga, Felix Sunzu na Amir Maftah wametofautiana mitazamo kuhusu mchezo wa dabi ya Kariakoo utakaochezwa Jumamosi ya Aprili 20 kuanzia saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, ambao mzunguko wa kwanza Yanga ilishinda kwa mabao 5-1. Sunzu raia wa Zambia aliyekuwa mmoja ya wafungaji wakati…

Read More