FCT YASIKILIZA NA KUTOLEA MAAMUZI MASHAURI 429 – MWANAHARAKATI MZALENDO
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Daniel Machunda amewaomba wadau wote kuendeleza ushirikiano na Baraza la Ushindani ( FCT) katika kuongeza uzoefu, ufanisi katika majukumu mbalimbali. Hayo ameyasema wakati akifunga semina hiyo Aprili 15 2024 Mkoa wa Mwanza, Machunda, amesema semina hiyo ni muhimu hivyo elimu walioipata itawasaidia kutambua haki na kujua wajibu…