Mwongozo kwa wanaojitolea waja | Mwananchi
Dodoma. Serikali ya Tanzania inakamilisha mwongozo kwa vijana wanaojitolea utakaiwawezesha kupatiwa malipo wakati wa utumishi wao. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema hayo leo Alhamisi Aprili 18, 2024 wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe. Katika swali la nyongeza, Sichalwe…