Admin

TCAA yakabidhi vifaa kwa shule ya msingi Mnete-Mtwara

Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA imekabidhi vifaa vya shule na vya ofisi katika Shule ya Msingi Mnete iliyopo mkoani Mtwara ikiwa ni msaada kwa jamii. Akizungumza wakati wa kupokea vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni Kumi (10) Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Mwanahamisi A. Munkunda ameishukuru TCAA kwa kuona hitaji na kuchukua hatua…

Read More

Makonda kumtesa Samia kama ilivyokuwa Mwinyi na Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan, yuko hatarini kutumbukia katika shimo alilopitia aliyekuwa rais wa pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi. MwanaHALISI limeelezwa. Anaripoti Saleh Mohammed … (endelea). Kiongozi huyo wa nchi aweza kutumbukia shimoni, ikiwa ataendelea kunyamazia; na au kubariki, hatua ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kutumia shida za…

Read More

Magari ya umeme sasa rasmi Tanzania.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua magari yanayotumia mfumo wa umeme ikiwa ni jitihada za Serikali za kuwezesha wananchi kutumia nishati safi nchini. Uzinduzi wa magari hayo umefanyika leo Mei 30, 2024 jijini Dodoma sanjari na uzinduzi wa Ofisi za Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) pamoja…

Read More

Rais Samia atua Korea akiambatana na mawaziri wanne

Seoul. Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Korea Kusini tayari kwa ziara ya siku sita, ambako pamoja na mambo mengine atashuhudia itiaji saini wa mikataba mbalimbali ya ushirikiano. Rais Samia amewasili jijini Seoul saa 12 jioni kwa saa za Korea (saa 6 mchana saa za Tanzania) na kesho Juni mosi, 2024 ataanza ziara ya kitaifa…

Read More

Mkude aliamsha mapema Unguja | Mwanaspoti

KIUNGO wa Yanga, Jonas Mkude, ni miongoni mwa wachezaji wa kikosi hicho wanaofanya mazoezi kuelekea fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Azam utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani hapa. Mkude alikosekana ndani ya kikosi cha Yanga kwa muda wa takribani wiki mbili baada ya kutokuwa vizuri kiafya. Daktari wa…

Read More

Jerome Boateng asaini LASK kama mchezaji huru.

Jerome Boateng anaingia kama mchezaji mpya wa LASK, akijiunga kama mchezaji huru kutoka Salernitana. Mkataba hadi 2026. Mkurugenzi Mtendaji wa LASK Gruber: “Inashangaza kabisa na haiaminiki kwamba tuliweza kumleta Jerome Boateng, mchezaji wa kipekee na mwanariadha wa kuigwa katika ngazi ya kimataifa, kwenye LASK. Alikuwa na ofa nyingi na za faida kubwa. alifanya makubaliano makubwa…

Read More