Admin

Wataja vikwazo vinne elimu ya ufundi

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiwa imeanza utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 pamoja na Mitaala mipya kwa elimu ya Sekondari, wadau wametaja vikwazo wa utoaji wa elimu ya amali ikiwamo ufinyu wa bajeti. Pia, wametaja kutoandaliwa kwa walimu kufundisha mitaala hiyo, ukosefu wa miundombinu na vifaa, uelewa mdogo…

Read More

2023/24 ulikuwa msimu wa rekodi

LIGI Kuu Tanzania Bara ilimalizika wiki hii kwa aina yake huku rekodi kibao zikiwekwa kwenye maeneo mbalimbali. Makocha na wachezaji walikiri ulikuwa ni msimu wenye ushindani zaidi uwanjani, viongozi wakakazia ilikuwa ni ligi ngumu na wenye mamlaka ya soka nchini wakakubali mchezo huo kukua kwa kasi. Licha ya furaha kwa Yanga na Azam zilizomaliza nafasi…

Read More

Frank Lampard ameibuka kama mpinzani wa ghafla wa kuwa meneja mpya wa Burnley baada ya kuondoka kwa Vincent Kompany.

Nahodha huyo wa zamani wa Manchester City alitarajiwa kuwa sehemu ya mustakabali wa Clarets baada ya kushindwa kuwaweka kwenye Premier League msimu huu. Lakini, kama ilivyofafanuliwa na Mail Sport wiki jana, Bayern ilizindua ombi la kushtukiza la kumvuta kutoka kwa Turf Moor kabla ya kukubaliana na kutangaza uteuzi wa mshtuko Jumatano. Burnley baadaye walithibitisha kwamba…

Read More

Amidst Global Turmoil, Citizens Unite for Peace: 11th Annual Peace Walk in 50 countries

As conflicts erupt worldwide, threatening global security and coexistence, hope of peace emerges from citizens. In May 2024, citizens across all continents will join hands for HWPL’s 11th Annual Commemoration of the Declaration of World Peace and Peace Walk, organized by a UN-affiliated NGO Heavenly Culture, World Peace, Restoration of Light (HWPL). Themed “Communication for…

Read More

Simba, Yanga fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More