Admin

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Naupenda uzee wa Saido

UZEE wa Saido Ntibazonkiza ni ‘uzee wa busara’. Utu uzima dawa. Ni ile maana halisi ya hakuna kijiji kinachokosa wazee. Ligi yetu bado ina maajabu kidogo. Wachezaji wazee wanacheza vizuri na wanafunga sana kuliko vijana. Ni kweli soka letu linakua na tumeanza kupata wachezaji wengi bora licha ya kutoondoa ukweli, umri sio kigezo cha kumzuia…

Read More

TBA YASHIRIKI MAONESHO YA SEKTA YA UJENZI BUNGENI DODOMA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Bw Ludovick Nduhiye,akisalimiana na watumishi wa TBA kwenye Banda la TBA  katika Maonesho ya Sekta ya Ujenzi kuelekea Bajeti ya Wizara hiyo yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma  ambayo yanashirikisha Taasisi zote zilizoko chini ya Wizara ya Ujenzi. Na Alex Sonna-DODOMA WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA)…

Read More

Jude Bellingham Anatania kuhusu Kushinda Ballon d’Or na Mwenzake wa Real Madrid Vinicius jr.

  Jude Bellingham, mwanasoka mchanga mwenye kipawa anayechezea Borussia Dortmund, hivi majuzi aligonga vichwa vya habari alipotania kuhusu kushinda tuzo ya kifahari ya Ballon d’Or pamoja na mchezaji mwenzake wa Real Madrid, Vinicius Junior. Ballon d’Or ni tuzo ya kila mwaka ya soka inayotolewa na Ufaransa Football. Imetolewa tangu 1956 na inachukuliwa kuwa moja ya…

Read More

VIVUKO KIGAMBONI:  Mfupa kwa sekta binafsi kuwekeza

Dar es Salaam. Licha ya dhamira ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya vivuko kati ya Kigamboni na Magogoni, huenda mpango huo ukabaki kuwa ndoto isiyotimia kwa miaka kadhaa. Hilo linatokana na mazingira ambayo si rafiki kwa sekta binafsi kutoa huduma katika eneo hilo. Nia ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi…

Read More

BARRICK YAFANIKISHA KONGAMANO YA WANAFUNZI VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOANI MWANZA

KAMPUNI ya Barrick nchini imedhamini kongamano la Vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ambapo wanafunzi walioshiriki walipata fursa ya kujengewa uwezo kuhusiana na masuala ya kujiamini,jinsi ya kujiajiri na kupata ajira sambamba na kutambua fursa zilizopo zinatozotokana na mabadiliko ya…

Read More

Mazito yabainika viwanja 14 vya Ligi Kuu, Kwa Mkapa…

UBORA wa viwanja una nafasi kubwa ya kuzalisha ligi, wachezaji na timu bora na ni jambo lililo wazi hakuna nchi yoyote iliyopiga hatua kisoka ambayo haina viwanja. Katika kuonyesha umuhimu wa uwanja katika mchezo wa soka, umewekwa kama sheria namba moja kati ya 17 za soka na hakujawahi kuwa na mabadiliko yaliyowahi kuifanya iwe tofauti…

Read More

Trafiki 10 matatani madai ya wizi wa kimfumo

Dar es Salaam. Wizi kwa njia ya mifumo unaendelea kuota mizizi serikalini, safari hii ukiwahusisha baadhi ya askari wa usalama barabarani. Kutokana na hilo, wanazuoni wameeleza namna unavyofanyika wakipendekeza mbinu za kuudhibiti. Katika Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, zaidi ya askari 10 kutoka mikoa ya Iringa, Pwani na Kilimanjaro wanadaiwa kuingia matatani kwa…

Read More

NACTVET YAFUNGUA DIRISHA LA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) Dkt.Adolf Rutayuga akizungumza na Waandishi habari (hawapo) pichani kuhusiana na kufunguliwa kwa dirisha la udahili wa kujiunga na Astashada na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2024/2025. *Yataka waombaji kuweka taarifa sahihi kuepusha usumbufu Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Tanga ,BARAZA…

Read More

Naupenda uzee wa Saido | Mwanaspoti

UZEE wa Saido Ntibazonkiza ni ‘uzee wa busara’. Utu uzima dawa. Ni ile maana halisi ya hakuna kijiji kinachokosa wazee. Ligi yetu bado ina maajabu kidogo. Wachezaji wazee wanacheza vizuri na wanafunga sana kuliko vijana. Ni kweli soka letu linakua na tumeanza kupata wachezaji wengi bora licha ya kutoondoa ukweli, umri sio kigezo cha kumzuia…

Read More