Wanafunzi 250,000 elimu ya juu kukopeshwa Sh bilioni 787

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wanafunzi 250,000 wa vyuo vya kati na elimu ya juu wanatarajia kunufaika na mikopo katika mwaka wa masomo 2024/2025 ambapo Sh bilioni 787 zimetengwa. Idadi hiyo ya wanafunzi imeongezeka kutoka 224,056 wa mwaka 2023/2024 ambapo watakaonufaika ni wa shahada za awali, stashahada, stashahada ya umahiri katika mafunzo ya sheria kwa…

Read More

Dira ya maendeleo ya 2025 imefikiwa kwa asilimia 65

Seoul. Wakati serikali ikiendelea na mchakato wa kuandaa dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050, Rais Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 umefikia asilimia 65. Amesema utekelezaji wa dira hiyo ungeweza kufikia asilimia 80 lakini haikuwezekana kwa sababu hawakuweza kuipima sekta isiyo rasmi licha ya kuwa na…

Read More

Wakulima kunufaika na masoko ya mazao

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) itaanza kununua mazao ya wakulima kuanzia Julai 15 hadi 20 mwaka huu katika vituo vya ununuzi ambavyo vitatangazwa hapo baadae. Mhe Bashe ameyasema hayo tarehe 5 Juni, 2024 jijini Dodoma katika Hafla ya Utiaji Saini Randama za…

Read More

Madalali, sera mbovu chanzo kukwama kilimo cha mwani

Dar es Salaam. Wadau na wakulima wa zao la mwani nchini wametaja teknolojia, bei ya chini, madalali na sera mbovu kuwa changamoto katika kilimo hicho. Wakizungumza jana Juni 5, 2024 katika mkutano wa pembeni ulioandaliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) jijini Dar es Salaam, baadhi ya wakulima wamesema soko la mwani bado…

Read More

Doyo kugombea uenyekiti ADC, amkaribisha Msigwa

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya Hamad Rashid Mohammed kumaliza muda wake. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 6, 2024 jijini Dar es Salaam, Doyo amesema anatangaza kugombea nafasi…

Read More

Sh787 bilioni zatengwa kukopesha wanafunzi 250,000

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la uombaji mikopo ya elimu ya juu kwa njia ya mtandao ‘Online Loan Application Management System’ (OLAMS) kwa mwaka wa masomo 2024/2025. Dirisha hilo la maombi litakuwa wazi kwa muda wa siku 90 kuanzia Juni 1 hadi Agosti 31,…

Read More