WAZIRI SILAA AZUIA UTAPELI ENEO LA NSSF

    *Ni baada ya NSSF kuweka mtego wa kuwakamata matapeli hao   *Walitaka ‘kumpiga’ Mama milioni nane, wakaishia mikononi mwa polisi   Na MWANDISHI WETU,   Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Jerry Silaa amempa siku 14 Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha amewaondoa watu…

Read More

Watu 37 wauawa Gaza katika shambulizi la Israel – DW – 06.06.2024

Shambulizi  baya lililowauwa watu 37 limetokea wakati wapatanishi wa vita vya Gaza, ambao ni  Marekani, Qatar na Misri, wameanza tena mazungumzo yenye lengo la kupata makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka katika vita hivyo ambavyo vimedumu kwa takribani miezi minane. Soma pia:Israel yaendelea kuishambulia eneo la Bureij Gaza Jeshi la Israel limesema limewaangamiza wanamgambo…

Read More

MAJALIWA ATAKA UWIANO SAWA WA WALIMU KATI YA MIJINI NA VIJIJINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali, bungeni jijini Dodoma, Juni 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) …….. *Aagiza Wakurugenzi wa Halmashauri na Maafisa Elimu wapitie ikama zao WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Elimu na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini wafanye mapitio ya ikama zao kuangalia mlundikano wa walimu katika maeneo ya mijini…

Read More

Putin asema Urusi huenda ikashambulia nchi za Magharibi – DW – 06.06.2024

Rais huyo wa Urusi pia amethibitisha kwamba nchi yake huenda ikatumia silaha za nyuklia, iwapo uhuru wake utatishiwa. Akizungumza na wanahabari mjini Moscow, Putin alisema hatua ya hivi karibuni ya nchi za Magharibi kuiruhusu Ukraine kutumia silaha ilizopewa na nchi hizo kuyashambulia maeneo ya Urusi, itaendelea kuuweka hatarini usalama wa kimataifa na huenda ikasababisha matatizo…

Read More

Mpango: Sekta binafsi ishirikishwe utunzaji mazingira

Dodoma. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amehimiza ushirikiano kati ya sekta binafsi na ya umma kwenye utunzaji wa mazingira nchini, ili kufikia malengo ya matumizi ya nishati safi ifikapo 2034. Mpango ameyasema hayo Juni 5, 2024 kwenye kilele cha Wiki ya Mazingira kilichofanyika jijini Dodoma. Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa…

Read More

SERIKALI YAAJIRI WATU WENYE ULEMAVU 1098.

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. SERIKALI imeendelea kuwathamini watu wenye ulemavu nchini ambapo imeendelea kuwapa ajira watu hao huku takwimu zikionyesha toka mwaka 2022 mpaka sasa jumla ya watu wenye ulemavu 1098 wameweza kuajiriwa. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga wakati wa ziara ya Katibu Mkuu…

Read More

Jaji mfawidhi Mhe.Latifa Mansoor awataka MPLC kupongeza Nguvu Elimu msaada wa kisheria

Jaji Mfawidhi wa Mhakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro,Mh.Latifa Mansoor ameushauri Uongozi wa Shrika la Wasaidizi wa Kisheria Morogoro (MPLC) kuongeza nguvu katika kutoa elimu na msaada wa Kisheria ndani ya jamii kwa lengo la kupanua wigo wa upatikanaji wa haki ili kupunguza matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo ukatili wa kijinsia,ubakaji,ulawiti na maadili. Aidha…

Read More