Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

SHAHIDI wa upande wa mashitaka Kiran Lalit Ratilal, ameshindwa kutoa ushahidi katika kesi  ya kujeruhi inayowaabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54), kwa sababu wakili wa utetezi katika kesi hiyo yupo Mahakama ya Rufani kwenye shauri lingine. Anaripoti  Mwandishi Wetu ….(endelea) Wanandoa hao ambao ni raia wa Tanzania wenye asili ya kihindi wanaoishi…

Read More

Wagonjwa 36,404 wafikiwa na kambi ya madaktari bobezi

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema wagonjwa 36,404 kutoka mikoa 14 wamefikiwa katika huduma za matibabu kutoka kwa madaktari bingwa na bobezi, wanaozunguka wilaya mbalimbali  nchini. Kambi hiyo iliyozinduliwa rasmi Mei 6 2024  na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imewafikia wagonjwa hao kwa kipindi cha siku 25 hadi kufikia Mei 31 2024 na kumekuwa…

Read More

Halmashauri yatambua shule bora Babati

Katika kuendeleza Kukuza kiwango cha elimu nchi Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara imetoa Pongezi na vikombe vya heshima kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya wanafunzi wa darasa la nne na darsa la Saba. Hayo yamefanyika katika Mji wa Babati Mkoani Manyara ambapo shule ya Deira English Medium School imeongoza kwa kufanya vizuri…

Read More

Mahujaji 3,300 wanaoenda kuhiji wapewa somo

Dar es Salaam. Mahujaji wanaokwenda kuhiji Makka  wametakiwa kuwa makini na kufuata maelekezo ya viongozi ili kunufaika na nguzo hiyo muhimu kati ya tano za kiislamu. Pia, wametakiwa watakapokuwa hijja kujikita katika ibada kwa ajili ya mwenyezi Mungu. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Juni 3, 2024 na Sheikh Hamid Jongo kwa niaba ya Mufti wa…

Read More

Visiwa vidogo 17 ZNZ,thamani ya mitaji ni dola Million 384

Mara baada ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuruhusu visiwa vidogo vidogo kukodishwa mwaka 2021 ambapo kati ya visiwa vidogo17 kwenye 20 vilitangzwa na kupewa wawekezaji kwa kuekeza na thamani ya mitaji ilioekezwa kwenye miradi hiyo ni Dola za kimarekani Milioni 384 ,zaid ya Dola za Kimarekani Milioni 20.5 zimekusanywa kama ada ya visiwa hivyo….

Read More

Serikali kutunga sera kuzilea kampuni changa

Seoul. Serikali imeanza mchakato wa kutunga sera kwa ajili ya kampuni changa (startups), ili kujenga mazingira mazuri ya ukuaji wa bunifu za watu na kuzilea hadi kuwa kampuni kubwa. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Juni 3, 2024 Seoul, Korea Kusini na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alipotembelea Kituo Atamizi cha Kimataifa…

Read More

Mchungaji Msigwa kupinga ushindi wa Sugu Kanda ya Nyasa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa, amekata rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyomng’oa madarakani na kumpa ushindi Joseph Mbilinyi (Sugu). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Mchungaji Msigwa ametangaza kusudio hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari, ikiwa ni siku chache tangu uchaguzi huo wa kusaka…

Read More