Hatuchezi yachukua sura mpya | Mwanaspoti

MSISITIZO wa Yanga wa kutocheza Dabi ya Kariakoo bado upo palepale. Inaelezwa kuwa Yanga, haitacheza Dabi ya Kariakoo Juni 15 mwaka huu dhidi ya Simba hadi haki yao ipatikane baada ya  mechi hiyo kuahirishwa awali Machi 8. Bodi ya Ligi iliahirisha mechi mechi awali muda mfupi baada ya Simba kutishia kuichezea kwa madai ya kuzuiwa…

Read More

Tanzania yapania taji Kwibuka T20

TIMU ya taifa ya Kriketi ya Wanawake imewasili, Rwanda tayari kwa michuano ya kriketi ya mizunguko 20 ijulikanayo kama Kwibuka Women T20 inayoanza kesho Jumanne jijini Kigali, ikitarajiwa kufikia tamati Juni 14. Ni mashindano maalum ya kukumbuka miaka 31 tangu Mauaji ya Kimbari  ya Rwanda yaliyotokea mwaka 1994, ambapo nchi nyingine zinazoshiriki ni Brazil, Cameroon,…

Read More

Kichuya arusha taulo mapema Ligi Kuu

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya ametupa taulo mapema kwa kusema kwa ugumu wa Ligi Kuu msimu huu ulivyo hana wa kulaumu na badala yake anapaswa kujipanga upya kwa msimu ujao wa 2025-2026 ili afanye vizuri na kutimiza malengo. Kichuya aliyefunga mabao manne na asisti tatu alisema: “Panapo majaliwa ya uhai natamani msimu ujao…

Read More

Mwalimu anaingia katika mfumo | Mwanaspoti

KITENDO cha mshambuliaji wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ kucheza dakika 10 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya Wydad AC na Sevilla, kimewaibua makocha wakimsifu kuwa anaingia kwenye mfumo wa timu hiyo taratibu. Wydad imecheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Sevilla na Porto kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Klabu Bingwa ya…

Read More

Sababu ya Mabula kurejeshwa Taifa Stars

MWEZI uliopita Mwanaspoti iliandika uchambuzi namna kiungo Alphonce Mabula anavyoitaka namba kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ baada ya kukosekana kwa takribani miaka minne. Jana kocha wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameita kikosi cha wachezaji 28 kitakachoingia kambini Juni 2 kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) na mashindano…

Read More

Singida Black Stars katikati ya mtego

MICHUANO ya Kombe la Shirikisho (FA), imefikia patamu ambapo tumeshuhudia timu mbili zikikata tiketi ya kucheza fainali, ikianza Yanga iliyoichapa JKT Tanzania mabao 2-0, kisha Singida Black Stars ikafuzu pia kibabe kwa kuicharaza Simba 3-1. Ushindi wa Singida ni wa kisasi baada ya kikosi hicho kupoteza mechi mbili za Ligi Kuu Bara, ikianza na kuchapwa…

Read More

Kisa Yanga, maafande Tanzania Prisons waitana fasta

Wakati Tanzania Prisons ikiingia kambini leo Jumapili kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mechi zilizobaki kukwepa presha ya play off, viongozi wameamua kuitana haraka kuimaliza Yanga. Maafande hao hawapo sehemu nzuri wakiwa na pointi 30 katika nafasi ya 13, wanatarajia kushuka uwanjani Juni 18 kuikaribisha Yanga yenye pointi 73 na inayohitaji ushindi kujiweka pazuri kutetea…

Read More

TZ Green yaanza kibabe TCA Majaribio

BAADA ya kupoteza mara nyingi dhidi ya TZ Blue katika mechi za majaribio kwa ajili ya kusaka kikosi cha timu ya taifa ya kriketi, TZ Green, hatimaye imeweza kufuta uteja baada ya ushindi wa mikimbio 32 kati mechi ya kwanza katika Uwanja wa UDSM mwishoni mwa juma. Wachezaji nyota  wa kriketi wamejigawa katika timu za…

Read More

Chama la Wana latenga mzigo bara

STAND United ‘Chama la Wana’ imesema baada ya kupenya katika mtoano (play off), ili kupanda Ligi Kuu Bara, kwa sasa ipo tayari kukutana na timu yoyote huku ikitangaza dau nono kwa wachezaji wa timu hiyo iwapo watafanikiwa kuirejesha kwenye ligi hiyo. Chama hilo la Shinyanga lililowahi kutamba Ligi Kuu misimu mitano nyuma, lilimaliza nafasi ya…

Read More

Metacha aukubali mziki wa Mnigeria Singida

KIPA wa Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema  mzunguko wa kwanza ulikuwa bora kwake akipata nafasi ya kucheza tofauti na raundi ya pili ambayo panga pangua ni Obasogie Amas, raia wa Nigeria anayehusishwa huenda akatua Yanga 2025/26. Pamoja na kukosa nafasi ya kucheza mzunguko wa pili, Metacha amesema anatumia muda mwingi kufanya mazoezi na kujiweka…

Read More