Mbeya City yampigia hesabu Maseke

KIPA Wilbol Maseke anayemaliza mkataba wake na KMC, anahusishwa kutakiwa na Mbeya City, ili kuongeza nguvu kwa ajili ya msimu ujao baada ya kupanda daraja, ikimaliza nafasi ya pili katika Ligi ya Championship. Maseke hadi sasa hajaruhusu bao katika mechi tatu na hakuwa na nafasi ya kucheza mara kwa mara, amekiri mkataba wake utaisha mwisho…

Read More

Ni huzuni Msimbazi, Singida BS yaitoa Simba FA

SINGIDA Black Stars imefuzu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya leo Jumamosi Mei 31, 2025 kuifunga Simba mabao 3-1, katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Tanzanite kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Ushindi kwa Singida BS umeifanya kulipa kisasi baada ya kuchapwa mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu,…

Read More

PSG v Inter, beti kwenye fainali ya kusisimua ya UEFA

Tovuti bora ya kubashiri michezo 1xBet inawasilisha mechi ya uamuzi ya mashindano makuu ya vilabu barani Ulaya, itakayochezwa Mei 31. Fuata misingi ya kubashiri kwa kuwajibika, toa utabiri wako kupitia Linki hiki na shiriki ushindi pamoja na unayempenda! Paris Saint-Germain, mshirika rasmi wa 1xBet, wamejipanga kushinda taji lao la kwanza la Ligi ya Mabingwa. Mabingwa…

Read More

Aziz KI kuanza na FC Porto leo usiku

BAADA ya kuukosa mchezo wa kwanza wa kirafiki ambao Wydad Athletic Club ilicheza dhidi ya Sevilla, hatimaye leo Mei 31, 2025 kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI amejumuishwa kwenye kikosi kitakachoikabili FC Porto ya Ureno. Aziz KI aliyetua Wydad hivi karibuni kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Yanga, wakati kikosi hicho kinapoteza mbele ya Sevilla kwa…

Read More

Morocco aita jeshi la nyota 28 Stars

KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametaja kikosi cha nyota 28 kwa ajili ya kujiwinda na mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’, itakayopigwa Juni 6 mwaka huu nchini Afrika Kusini. Mbali na mechi hiyo dhidi ya Bafana Bafana iliyomaliza nafasi ya tatu kwenye…

Read More

Arajiga pilato wa Simba, Singida FA

Refa Ahmed Arajiga ndiye atashika filimbi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baina ya Simba na Singida Black Stars itakayochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati kuanzia saa 9:30 alasiri. Huo ni mchezo wa pili kwa Arajiga kuichezesha Simba msimu huu, wa kwanza ukiwa ni wa mzunguko wa pili wa…

Read More

Straika Dodoma Jiji awekewa mkataba mpya mezani

UONGOZI wa Dodoma Jiji uko katika mazungumzo ya kumuongezea mkataba mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Paul Peter, baada ya alionao sasa kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu, lengo likiwa ni kumtaka aendelee kuichezea timu hiyo kwa miaka miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, mshambuliaji huyo alisema ni kweli yupo katika majadiliano ya kusaini mkataba mpya na kikosi…

Read More