Azam yafunguka kipengele cha Yanga, Fei Toto kutua Simba

Unakumbuka neno kipengele lilivyogonga vichwa vya habari wakati wa sakata la kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi? Basi neno hilo limerejea tena kwa kishindo likiwahusisha haohao Simba na Yanga, lakini safari hii ni kupitia mkataba wa Feisal Salum maarufu zaidi kama Feitoto, Failasufi au Zanzibar Finest. Mchezaji huyo wa Azam FC amekuwa akihusishwa kuhamia…

Read More

Mtibwa yasaka kocha, yamkomalia Bayser

MTIBWA Sugar kwa sasa inafanya mambo mawili muhimu, ipo katika mchakato wa kumtafuta kocha mkuu ndani na nje na kupitia kwa uongozi wa serikali Mkoa wa Morogoro inamshawishi, Jamal Byser kurudi kikosini. Taarifa za ndani zinasema baada ya mabosi wa klabu hiyo kufanya kikao na kupitia ripoti ya mwenendo wa timu hiyo, umegundua aliyekuwa mwenyekiti…

Read More

Aziz KI amuibua beki wa zamani

NYOTA wa zamani wa Yanga, Haji Mwinyi Ngwali, ameshindwa kujizuia na kuibuka akiwatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kuhusu kuondoka kwa kiungo mahiri, Stephane Aziz KI, kwa kusema klabu hiyo bado ina wachezaji bora wanaoweza kuchukua nafasi yake bila kupunguza ubora wa timu. Aziz KI aliyeitumikia Yanga kwa misimu mitatu tangu aliposajiliwa 2022 kutoka ASEC…

Read More

Maamuzi magumu Simba, MO Dewji atajwa!

BILIONEA wa Klabu ya Simba, Mohammed ‘MO’ Dewji ameridhishwa na mafanikio ya timu hiyo kimataifa licha ya kwamba imeshindwa kubeba ubingwa wa Afrika kwa mara nyingine na fasta ameamua kufanya jambo moja linaloweza kuwapa furaha Wekundu wa Msimbazi. Bilionea huyo amempongeza kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids aliyekutana naye katika kikao kizito na kumhakikishia…

Read More

Mutale afichua siri Msimbazi | Mwanaspoti

WINGA Joshua Mutale amekuwa mtamu kama mcharo. Kwa wanaokumbuka wakati anatua Msimbazi kutoka Power Dynamos ya Zambia, jina lake lilibeba matumaini. Mutale maarufu kama Budo, aliingia kikosi cha Simba kama mmoja wa wachezaji waliotarajiwa kuleta mapinduzi msimu huu, lakini kama ilivyo kwa nyota wengi, safari yake haikuwa tambarare, hata hivyo kwa sasa ni kama gari…

Read More

Simba V Singida, mechi ya kisasi

NGOJA TUONE. Baada ya kupoteza mechi mbili dhidi ya Simba katika Ligi Kuu Bara, Singida Black Stars leo ina nafasi ya kulipa kisasi katika pambano la nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), linalopigwa leo jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo Babati, mkoani Manyara. Hii ni mchi ya kisasi na iliyobeba matumaini ya Singida…

Read More

Lile pati la Mbeya City ndo leo

MASHABIKI wa Mbeya City Jumamosi hii watajumuika pamoja kwenye pati ya kuipongeza timu hiyo kupanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, huku ikipambwa na burudani mbalimbali ikiwamo wasanii wakongwe wa muziki wa kizazi kipya. Shangwe hilo limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa City Pub Kiotani ambapo wanachama, mashabiki na wapenzi wa Mbeya City watajumuika pamoja kujipongeza…

Read More

Ouma azililia pointi tatu | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, raia wa Kenya, David Ouma amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa kuchapwa bao 1-0 na Simba, ila amewapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa jinsi walivyopambana, huku akililia penalti mbili za wazi. Akizungumza na Mwanaspoti baada ya mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam,…

Read More

Kwa Namungo ni heshima na nafasi

KIRAKA wa Namungo, Erasto Nyoni amesema mechi mbili zilizosalia kufunga hesabu za msimu huu, zimebeba heshima na nafasi endapo timu hiyo ikishinda zote, inaweza ikapanda hadi nafasi ya tano iliyopo Tabora United. Namungo ipo nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi imecheza mechi 28 imeshinda nane, sare saba, imefungwa 13 imekusanya pointi 31, hivyo ikishinda…

Read More