Makipa wazawa upepo sio mzuri

HIKI kizazi cha sasa cha makipa wazawa kilikuwa na mwanzo mzuri kuanzia kipindi cha miaka ya 2010 ambapo wengi walianza kuibuka wakiwa watoto hasa katika timu za vijana za Tanzania. Kilionekana kina vijana ambao watarithi vyema mikoba ya kaka zao kina Juma Kaseja, Shaaban Kado, Ivo Mapunda, Shaaban Dihile, Mwadini Ally na wengineo ambao umri…

Read More

Mechi za ubingwa ZPL kupigwa leo

VITA ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) imekaa kimtego huku mechi mbili zitakazochezwa leo Mei 30, 2025 zimebeba nafasi ya timu kujitengenezea nafasi nzuri. Kwenye Uwanja wa Mao A, Maafande wa Mafunzo watavaana na Muembe Makumbi, huku Mlandege ikitoana jasho na KMKM kwenye Uwanja Mao B, mechi zote zitaanza saa 10 kisiwani Unguja….

Read More

Coastal Union yampigia hesabu kocha Tabora United

COASTAL Union inapiga hesabu kali za kumchukua aliyekuwa kocha wa Tabora United, Anicet Kiazayidi kushika nafasi ya Joseph Lazaro msimu ujao. Timu hiyo awali ilikuwa ikifundishwa na Juma Mwambusi, aliyeondolewa kutokana na matokeo mabaya ambayo klabu hiyo ilikuwa ikiyapata. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Coastal, kiliiambia Mwanaspoti, mipango ya klabu hiyo sasa ni kumchukua…

Read More

Kagoma, Mwenda kumuenzi James Bwire

KIUNGO wa Simba, Yusuf Kagoma na beki wa kulia wa Yanga, Israel Mwenda ni miongoni mwa wachezaji waliothibitisha kushiriki tamasha la Alliance Day litakalotumika kumuenzi aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, James Bwire aliyefariki dunia mapema mwaka huu. Uongozi wa kituo hicho cha michezo cha Alliance kilichopo jijini hapa umetangaza ujio wa tamasha hilo ili…

Read More

Yanga ni Mokwena au Mfaransa

MABOSI wa Yanga, wameendelea kufanya yao kimyakimya katika mchakato wa kusaka kocha atakayepewa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao huku zoezi hilo likichukua sura mpya baada ya kuamua kuliongeza jina la kocha mmoja kutoka nyumba ya vipaji raia wa Ufaransa. Yanga ipo katika mipango ya kutemana na Miloud Hamdi anayeionoa kwa sasa ambaye…

Read More

Wasauzi wawafuata Diarra, Mutale | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, Jumatano wiki hii alikuwa jukwaani KMC Complex, jijini Dar es Salaam ili kushuhudia kiporo cha Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Singida BS, ikiwa ni saa chache tangu atoke kuwasilisha ripoti ya usajili ya timu hiyo akitaka kuboresha kikosi kwa msimu ujao. Lengo kuu la Nabi kuwa…

Read More

Simba yaanza kufyeka hawa | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wanaendelea kuchekelea ushindi wa 23 kwa msimu huu katika Ligi Kuu kwa kuilaza Singida Black Stars, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza kufanya maboresho ya kikosi hicho kimya kimya, ikiwemo kujiandaa kutembeza panga kwa baadhi ya mastaa na kuleta majembe mapya. Simba inashika nafasi ya pili kwa sasa katika msimamo ikiwa na…

Read More

Kocha Geita aikubali Stand United

Kocha wa Geita Gold FC, Mohamed Muya amewapongeza vijana wake na wa Stand United, huku akisema mikakati yake ya sasa ni kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika kikosi chao. Muya ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari leo Mei 29, 2025 baada ya kumalizika kwa mechi ya marudiano ya play off kuwania kupanda Ligi Kuu Bara msimu…

Read More

Tujifunze kwa Kagere, Victor Wanyama

JANA kocha wa timu ya taifa Rwanda ‘Amavubi’, Adel Amrouche alitangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki mwezi ujao dhidi ya Algeria mwezi ujao ambapo alimjumuisha nyota wa Namungo, Meddie Kagere. Ni jambo lililotushtua kidogo hapa kijiweni kwa vile umri wa Kagere umesogea kwani mshambuliaji huyo ana umri wa miaka…

Read More