Azizi KI ndani, Nouma nje kikosi cha Burkina Faso

TAARIFA mbaya kwa beki mpya wa Simba, Valentin Nouma ni kwamba kocha Brama Traore, amemtema katika kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso, huku Stephanie Aziz KI  wa Yanga akiendelea kupeta. Nouma amekutana na taarifa hiyo ya kushtua ikiwa ni mara ya kwanza tangu atue Simba iliyomsajili dirisha kubwa la usajili lililopita, huku akiwa…

Read More

Tanzania Prisons sasa mziki umetimia

KITENDO cha nyota wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma na Samson Mbangula kurejea kikosini, kumemfanya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makatta kupata hali ya kujiamini akisema kwa sasa kazi inaanza upya katika Ligi Kuu Bara. Prisons imeanza kwa ugumu Ligi Kuu baada ya kucheza michezo miwili bila kufunga bao, wakiambulia matokeo ya 0-0 mfululizo dhidi…

Read More

Planet yainyoa tena Eagle Mwanza

PLANET imeonyesha ubabe kwa kuifunga timu ngumu ya Eagles kwa pointi 62-59 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mirongo, jijini humo. Mchezo huo ni wa pili kwa timu hiyo kupoteza katika mchezo wa kwanza iliweza kufungwa na Planet kwa pointi 81-72. Mchezaji Romanus wa Planet  aliongoza kwa kufunga pointi 17,…

Read More

Pamba Jiji hesabu za siku 22

LIGI Kuu Bara itasimama kwa wiki mbili kupisha mechi za timu za taifa na mashindano ya klabu barani Afrika, huku Pamba Jiji ikipanga kuzitumia siku takribani 22 za mapumziko hayo kuboresha kikosi chake na kucheza mechi za kirafiki. Pamba Jiji ambayo ilicheza mechi yake ya mwisho Agosti 24, mwaka huu itarejea tena dimbani Septemba 15…

Read More

Vijana waifanyia kweli Savio DBL

TIMU ya mpira ya kikapu ya Savio imetikiswa na Vijana ‘City Bulls’ baada ya kufungwa pointi 77-65 katika Ligi ya mchezo huo Mkoa wa Dar es Salaam (DBL) mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco  Oysterbay. Savio inayoshika nafasi ya tatu ndani ya msimamo wa Ligi hiyo ikiwa pointi 45 katika mchezo huo ilishindwa kabisa kuonyesha…

Read More

Kazi ipo eneo la kushuka daraja BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mchuano umehamia kwa  timu zitakazoshuka daraja kazi ikiwa kwa timu tano zinazochuana zisishuke. Timu hizo ni KIUT yenye pointi 30, Jogoo (28), Ukonga Kings (27), Crowns (27) na Chui (25), zipo katika mtihani huku tatu kati ya hizo ndizo zitakazoshuka daraja….

Read More

Aliyeiua Namungo mzuka umepanda | Mwanaspoti

BAADA ya kucheza mechi ya kwanza Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani mwaka mmoja na nusu, huku akifunga bao lililowapa Tabora United ushindi, beki wa kushoto Salum Chuku, amesema licha ya kikosi chao kuchelewa kuanza maandalizi lakini ana imani kitafanya vizuri msimu huu. Chuku aliyejiunga na Tabora United kwenye dirisha kubwa akitokea Mwadui…

Read More

Savio yaifanyia kweli Vijana BDL

TIMU ya mpira ya kikapu ya Savio imetikiswa na Vijana ‘City Bulls’ baada ya kufungwa pointi 77-65 katika Ligi ya mchezo huo Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco  Oysterbay. Savio inayoshika nafasi ya tatu ndani ya msimamo wa Ligi hiyo ikiwa pointi 45 katika mchezo huo ilishindwa kabisa kuonyesha…

Read More