Baleke, Boka wakoleza moto Yanga

YANGA kesho jioni itakuwa uwanjani kuvaana na Kagera Sugar, huku kocha wa kikosi hicho akichekelea kurejea uwanjani kwa mshambuliaji, Jean Baleke pamoja na beki Chadrack Boka walikosekana katika mechi nne zilizopita zikiwamo mbili za Ngao ya Jamii na za Ligi ya Mabingwa Afrika ikiing’oa Vital’O ya Burundi. Baleke alikosekana katika mechi nne wakati Boka alikosa…

Read More

YANGA WATIA TIMU BUKOBA KUZISAKA ALAMA TATU.

Na Dulla Uwezo Kikosi cha Timu ya Yanga Africans Kimewasili salama Bukoba Mjini Tayari kuzitafuta alama Tatu Muhimu, katika Mchezo wao utakaopigwa Tarehe 29 Agosti katika Dimba la Kaitaba dhidi ya Wenyeji wao Kagera Sugar Wanankurukumbi. Kikosi Kimewasili majira ya Saa Sita Mchana na Ndege, Kisha Kuelekea mapumZiko mafupi Hotelini kabla ya Kufanya Mazoezi jioni…

Read More

JKU yaanika kilichowakuta Misri | Mwanaspoti

BAADA ya juzi Jumanne kurejea Zanzibar wakitokea Misri walipokwenda kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Pyramids, Kocha Mkuu wa JKU, Salum Haji maarufu Kocha Msomi amefichua mambo manne yaliyosababisha kufeli. JKU iliyokuwa ikiiwakilisha Zanzibar katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu ilitolewa hatua ya awali baada ya kufungwa jumla…

Read More

Fei Toto aitingisha Azam FC, ishu nzima ipo hivi!

AZAM FC jana ilikuwa uwanjani kucheza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025 dhidi ya JKT Tanzania, lakini kabla ya mechi hiyo iliyopigwa jijini Dar es Salaam, mabosi wa timu hiyo wameshtushwa na kiungo Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuzuia kwa muda mazungumzo ya mkataba mpya. Fei Toto alisaini mkataba wa miaka…

Read More

Muke kuendesha mafunzo kikapu | Mwanaspoti

ZAIDI ya vijana 50 wa umri wa chini ya miaka 15 wanatarajia kushiriki katika programu ya mafunzo katika uwanja wa Donbosco Osterbay, Dar es Salaam. Mafunzo hayo yameandaliwa na kocha Matabishi Bumba Muke kwa kushirikiana na kituo cha Donbosco, ambapo ameliambia Mwanasposti kuwa yatakuwa yakitolewa Jumamosi na Jumapili kituoni hapo. Akielezea zaidi, alisema wamepanga siku…

Read More

Risasi yaivuruga Veta | Mwanaspoti

TIMU ya Risasi imeifunga Veta kwa pointi 50-49 katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Shinyanga iliyofanyika katika Uwanja Veta mjini humo. Kwa matokeo hayo, Risasi inashika nafasi ya pili kwa  pointi tisa, huku Kahama Sixers ikiongoza kwa pointi 10. Akizungumza na Mwanaspoti kwa simu kutoka Shinyanga, kamishina wa Ufundi na Mashindano wa mkoa huo,…

Read More

Yanga, Mzize hesabu na heshima

KATIKA kile kinachoendelea kati ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuhusishwa ama kutakiwa na klabu mbalimbali Afrika na Ulaya, viongozi wa timu hiyo ya wananchi hao wanapaswa kuwa makini juu ya jambo hilo. Mzize kwa siku za hivi karibuni amekuwa akihitajika na klabu za Wydad AC ya Morocco na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambazo…

Read More