Siku 40 Yanga, mboga moto, ugali moto!

JAMBO ambalo Yanga inapaswa kujivunia ni kwamba wachezaji wake nane tofauti wamefunga mabao 22 huku moja tu likiwa la kujifunga la timu pinzani, jambo linaloashiria kwamba timu hiyo haina tegemezi katika ufungaji msimu huu. Lakini kinachofanywa na Yanga hapana shaka kinaumiza vichwa vya timu pinzani ndani na nje ya Tanzania katika kuangalia ni kwa namna…

Read More

Huu hapa mtoko mpya wa Simba kimataifa

SIMBA ipo katika maandalizi kabambe kuhakikisha wanatimiza lengo lao la kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu. Vijana hao wa Kocha Msauzi, Fadlu Davids, wanafahamu kwamba mpinzani aliye mbele yao wanayepaswa kumuondosha ili kufuzu makundi ni Al Ahli Tripoli ya Libya. Al Ahli Tripoli inakwenda kucheza na Simba baada ya kuitoa…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -1

SASA ENDELEA… JINA langu naitwa Enjo. Ni mtoto wa tatu katika familia ya mzee Sebastian Chacha. Wa kwanza alikuwa mwanaume. Jina lake ni Raymond au Ray kama marafiki zake walivyozoea kumuita. Yeye anafanya kazi Ujerumani. Ameshaoa na ana watoto wawili. Wa pili alikuwa mwanamke kama mimi, anaitwa Miriam. Anaishi Dar ninapoishi mimi, naye pia ameshaolewa…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume – 4

ILIPOISHIA… Nikahisi alikuwa mzungu mwenyeji kwani alikuwa akiifahamu vyema lugha ya Kiswahili. “Bila samahani, niombe tu.” Nikamjibu. “Lakini natanguliza samahani, sijui kama utaridhika.” Aliponiambia hivyo nilishituka kidogo. “Kwani unataka kuniomba nini?” SASA ENDELEA… “NAOMBA namba yako.” “Namba yangu ya….?” “Nilikuwa na maana namba yako ya simu.” “Kama ni hilo tu hakuna tatizo.” Nikamwambia. Nikampa namba…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -5

LIPOISHIA…Akanyamaza kidogo kisha akaniuliza.“Tukutane saa ngapi?”“Kama saa kumi jioni hivi.”Ningeweza kukutana naye wakati wowote lakini niliona nimtajie tu muda huo ili aone nilikuwa mtu wa mipango. “SAA kumi nikukute mimi au utanikuta wewe?” Akaniuliza baada ya kimya kifupi.“Vyovyote itakavyokuwa. Kama utawahi wewe kufika utanisubiri. Kama nitawahi mimi nitakusubiri.”“Ahadi za kizungu nitaziweza wapi?” Nilikuwa nikijisemea kimoyomoyo…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Machozi ya mshumaa -1

KARIBUNI… Hakuna anayejali maumivu ya mshumaa unaomwaga machozi ambayo huwafurahisha watu kwa kusambaza mwanga unaoangaza pande zote bila kujua kila chozi linalodondoka huwa lina maumivu makali yanayochangia mauti yake. Watu wengi wamekuwa wahanga wa mapenzi ambao kila kukicha macho yao yamekuwa yakidondosha machozi huku wakiwa na maumivu makali mioyoni mwao baada ya kuumizwa na mapenzi….

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -6

Yule mzungu ameniahidi kuwa naweza kuvipata vyote kama nitakubali kuwa naye. Sikuona kama kulikuwa na kikwazo cha kuwa naye. Mwanaume ambaye tuliahidiana kuja kuoana hakuwa amenichumbia na inawezekana akapata msichana mwingine na akabadili mawazo yake. Mwanaume si wa kumtegemea sana.

Read More

Afande atia neno michezo | Mwanaspoti

“MICHEZO ni fursa ya ajira na burudani na kama unataka kuwa na afya bora ya akili na mwili, huwezi kukwepa mazoezi.” Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Malipo Yona ameyasema hayo leo wakati wa tamasha la michezo lililokwenda sambamba na mdahalo wa utoaji elimu juu ya ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi kutoka Kata ya Kibamba. Yona ambaye…

Read More