Djuma Shaban atimkia Ufaransa | Mwanaspoti

BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban anayekipiga Namungo kwa sasa, ametimka nchini kwenda Ufaransa, huku akifunguka kilichofanya aende huko akiwa amepewa muda wa wiki moja kabla ya kurejea kikosini kuungana na wenzake kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara. Djuma aliyewahi kuitumikia AS Vita ya DR Congo kabla ya kutua Yanga misimu mitatu iliyopita,…

Read More

Januari itakuwa nyepesi kiuchumi ukifanya haya

Dar es Salaam. Baada ya Sikukuu ya Krismasi, kipindi kinachotajwa kuwa cha matumizi makubwa ni Januari. Bado siku tano kuingia Januari Mosi, mwezi unaofahamika na wengi kama wenye changamoto za ukosefu wa pesa. Baadhi ya watu wanasema, changamoto za Januari huchochewa na watu kufanya matumizi mengi kipindi cha mwezi Desemba na kupelekea wengine kuwa kwenye madeni….

Read More

Maisha yameenda kasi sana kwa Yao

YAO Kouassi Attohoula alipokuja kujiunga na kuanza kuitumikia Yanga, mambo yalimwendea vizuri sana hadi akateka hisia za mashabiki wa timu hiyo na wadau wengi wa soka. Uwezo wake mzuri wa kujilinda lakini kusaidia kupeleka mbele mashambulizi ulifanya karibia wote hapa kijiweni tukubaliane jamaa ni beki wa pembeni wa kisasa kutokana na anavyofanya vizuri katika maboksi…

Read More

RC CHALAMILA AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI-DSM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka viongozi wa Dini kuendelea kuliombea Taifa amani na kuhubiri masuala ya amani na utulivu wa Nchi ili kuepuka madhara yatokanayo na uvunjifu wa amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu Akizungumza leo jijini Dar es salaam latika kikao maalum na viongozi wa…

Read More

Sh15 bilioni zitakavyohifadhi misitu asilia

Dar es Salaam. Misitu tisa kwenye mikoa mitano nchini itaboreshwa na mradi wa kuimarisha ustahimilivu wa Bioanuwai ya misitu ya mazingira asilia dhidi ya athari ya mabadiliko ya tabianchi. Misitu hiyo Pugu – Kazimzumbwi (Pwani),  mlima Hanang (Manyara), Pindiro na Rondo (Lindi), Uzigua (Pwani na Tanga), Mwambesi (Ruvuma), Essimingor (Arusha), Hassam Hills (Manyara) na Nou…

Read More

Othman ataka machungu ya historia ya Zanzibar yaandikwe

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman ameeleza wajibu na umuhimu wa kuandika historia ya kweli ya Zanzibar, hata ikiwa ina matamu na machungu. Amesema historia ya nchi haipaswi kuandikwa kwa ‘kalamu ya kisiasa’, bali inapaswa kuandikwa kwa kuzingatia misingi ya haki na ukweli, kwa maslahi ya vizazi vyote vya sasa…

Read More