
Unene bado janga kwa wakazi wa mijini
Dar es Salaam. Kutokana na utafiti kubaini wakazi wa mijini kuwa na unene kupita kiasi ikilinganishwa waishio vijijini, wataalamu wa lishe na afya ya binadamu wameeleza aina ya maisha wanayopaswa kuishi wakazi wa mijini. Wataalamu hao wanaeleza hayo wakati uhalisia wa maisha ya wakazi wa mijini yakionyeshwa kwenye Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi…