Unene bado janga kwa wakazi wa mijini

Dar es Salaam. Kutokana na utafiti kubaini wakazi wa mijini kuwa na unene kupita kiasi ikilinganishwa waishio vijijini, wataalamu wa lishe na afya ya binadamu wameeleza aina ya maisha wanayopaswa kuishi wakazi wa mijini. Wataalamu hao wanaeleza hayo wakati uhalisia wa maisha ya wakazi wa mijini yakionyeshwa kwenye Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi…

Read More

Polisi waendelea kumng’ang’ania Malisa | Mwananchi

Moshi. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea kumshikilia Godlisten Malisa, mwanaharakati na mkurugenzi wa GH Foundation katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, Msemaji wa Taasisi hiyo, James Mbowe amedai kuwa mwanaharakati huyo amepata changamoto za kiafya akiwa kituoni hapo.  Malisa alikamatwa jana Juni 6, 2024 muda mfupi baada ya kesi inayowakabili yeye na meya…

Read More

Vita ya nafasi Ligi Kuu, ukizubaa unashushwa

RAUNDI ya 18 ya Ligi Kuu Bara itaanza kesho kwa michezo miwili kupigwa kwenye viwanja viwili, mchezo wa mapema saa 10:00 jioni utapigwa CCM Kirumba mjini Mwanza kati ya Pamba Jiji dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC. Timu hizo zitakutana zikiwa na morali baada ya kushinda michezo ya mwisho baada…

Read More

Mapya mafuta yanayodaiwa kuwababua ngozi wakazi Yombo Dovya

Dar es Salaam. Shirika la Viwango Tanzania(TBS), limetoa ripoti ya mafuta yanayodaiwa kuwadhuru wakazi wa Yombo Dovya zaidi ya 200 na kueleza kuwa yalikuwa na kemikali. Tukio hilo liliripotiwa kwa mara ya mwanzoni mwa Januari, 2025 ambapo wananchi walisema walipata athari za kiafya baada ya kutumia chakula kilichoandaliwa kwa kutumia mafuta hayo, waliyodai wameyanunua kwa…

Read More

Kada CCM aliyemwagiwa tindikali aandika barua THBUB, ajibiwa

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Idrisa Moses maarufu Makishe, ameiandikia barua Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), akiiomba kuanza uchunguzi huru kuhusu tukio la kumwagiwa tindikali. Septemba 20, 2024 saa 2:00 usiku, watu wasiojulikana walimmwagia Makishe ambaye ni mkazi wa mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro kimiminika kinachodhaniwa ni tindikali na…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA AFRIKA NA ITALIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Ubia wa Maendeleo baina ya Afrika na Italia kupitia mpango wa Mattei (Mattei Plan) na Mpango wa Ulaya (Global Gateway) utasaidia katika kuendeleza miundombinu, rasilimali watu, kilimo na maendeleo ya kidijitali barani Afrika. Makamu wa Rais amesema hayo mara baada ya…

Read More

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa taratibu za kikodi zimebainisha kwamba, mfanyabiashara yeyote mwenye mauzo ghafi yenye kiasi cha shilingi milioni kumi na moja (TZS 11,000,000) na kuendelea kwa mwaka, anapaswa kutumia mashine za kutoa risiti za kielekroniki (EFD) kwa walipakodi wote wanaofanya biashara mara nyingi au mara moja kwa mwaka. Hayo yameelezwa…

Read More

Mwalimu ajinyonga akidaiwa kuliwa Sh1 milioni kwenye Aviator

Nyamira. Mwalimu wa sekondari ya Wavulana ya Nyamira nchini Kenya, amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake. Mwalimu huyo aliyetambulika kwa jina la Kevin Omwenga mwili wake ulipatikana ndani kwake jana Alhamisi Juni 7, 2024, huku ikidaiwa kuwa alipoteza Ksh50,000 (Sh1 milioni) kwenye kamari maarufu kama aviator au kindege. Msaidizi wa chifu wa eneo hilo, Johnson…

Read More