Yanga vs Azam hapa sasa mtainjoi, kisasi kitalipwa

HII utaipenda na mtasema mlikujaje. Ndivyo unavyoweza kusema wakati fainali ya mechi za Ngao ya Jamii itakapopigwa kesho Jumapili. Ndio, ni bonge la mechi kwa mashabiki wa soka nchini. Achana na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Alhamisi. Achana na matokeo ya ushindi wa bao 1-0 iliyopata Yanga mbele ya Simba. Achana na madudu yaliyofanywa na waamuzi wa…

Read More

Wanawake waoneshwa njia kushika nyadhifa za juu viwandani

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, kujiamini, kujitambua na ushirikiano kwa wanawake ni mongoni mwa mambo yatakayochochea kundi hilo kufikia maendeleo mbalimbali ikiwamo ya uongozi mahiri sehemu za kazi hasa katika sekta ya uzalishaji viwandani. Kuhamasisha wanawake kiuongozi, pia ni sehemu ya juhudi za kimataifa  kama vile Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs),…

Read More

Fanya haya unapomwandaa mtoto anayesoma maeneo yenye baridi

Dar es Salaam. Wakati likizo ikiwa inaelekea ukingoni, wadau wa afya na elimu wameainisha mambo muhimu ya kufanya unapomwandaa mtoto kurudi masomoni, hasa wale wanaosoma maeneo yenye baridi kali, huku wakitoa ushauri kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Uchaguzi wa mavazi ya kumkinga na baridi, afya na kinga ni mambo yaliyotajwa kuzingatiwa na mzazi…

Read More

Mwenyekiti mpya Chadema Kaskazini asema hatarithi maadui

Arusha. Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Samwel Welwel amewaomba viongozi wa majimbo na mikoa katika kanda hiyo kushirikiana kuimarisha chama hicho huku akieleza kwamba hataki kurithi maadui. Welwel ameshinda nafasi hiyo baada ya uchaguzi huo akirithi mikoba ya Godbless Lema ambaye amempongeza kwa ushindi huo na kuahidi kushirikiana…

Read More

Benjamin Mkapa warahisishiwa usafirishaji wa wagonjwa

Dodoma. Changamoto ya ukosefu wa gari la kubebea wagonjwa linaloweza kumudu kupita barabara mbaya limepatiwa ufumbuzi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa. Hospitali hiyo imepata gari aina ya Toyota Land Cruiser (Hardtop) lenye kitanda cha mgonjwa, mtungi wa oksijeni na mkoba wa dawa. Gari hilo limekabidhiwa leo Alhamisi Mei 9, 2024 na Mbunge wa Dodoma Mjini,…

Read More